House1932-1951
Member
- Jan 18, 2012
- 16
- 0
kweli bana
SOURCE: TanzaniaDaima jan18,2012
Unanchekesha!
Najua ulikuwa mstari wa mbele sana kukosoa kila kitu alichosema marehemu RM but sikujua kama unamchukia kiasi cha kusindwa hata kutoa comment moja ya pole lol. Nimemkubali sana malaria sugu kwa utu alouonyesha.
Nilikuwa nafuatilia kwa ukaribu sana kila thread iliyohusu msiba wa RM but sikukuona kabisa hata kutoa pole.
Nikweli alizomewa maana mdogo wangu anaishi Igunga alinipigia simu kuwa wananchi wamemzomea mbunge.Hakuna kichekesho hapa.SOURCE: TanzaniaDaima jan18,2012
Unanchekesha!
Mi sijaona kichekesho nisaidie na mimi nicheke. Naona habari tu mjigamba mgumu kuzomewa ikiwa ni ishara ya wananchi kumuogopa manake ktk Sharia za Mkoa wa Mara, alitakiwa apigwe mawe
Najua ulikuwa mstari wa mbele sana kukosoa kila kitu alichosema marehemu RM but sikujua kama unamchukia kiasi cha kusindwa hata kutoa comment moja ya pole lol. Nimemkubali sana malaria sugu kwa utu alouonyesha.
Nilikuwa nafuatilia kwa ukaribu sana kila thread iliyohusu msiba wa RM but sikukuona kabisa hata kutoa pole.
SOURCE: TanzaniaDaima jan18,2012
Unanchekesha!
Gazei la wanaharakati na si wanasiasa. Mmiliki wa hili gazeti ni Mbowe unategemea nn ?
SOURCE: TanzaniaDaima jan18,2012
Unanchekesha!