Magamba mengine mpaka aibu, kwani pesa zote za jimbo alizifanyia nini? Hivi kulikuwa na makubaliano kati yake na wananchi kuwa anunue madawati ili wampe kura? Hii ndo hasara ya kuwa na wanasiasa wafanyabiashara kila anachotoa anataka faida!
Kwani huyu anatofauti gani na Masha aliyeamua kutoa pazia kwenye ofisi za mbunge za Nyamagana,, ha ha ha subili utawaona wapo wengi mno watafanya hivyo 2015...
HAO NDO WAZEE WA MAGAMBA , YAMEWANG'ANG'ANIA HATA HAYATOKI
JAMANI CDM HIYOOO HAPO NA KING'OLA INAOMBA NJIA YA KWENDA IKULU....:dance::mod::A S 103:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.