Huu ni usanii wa kijinga na ambao hauna tija. Lema anaonekana kama kituko sasa. Upuuzi mtupu!
\Katika wabunge wote wa chadema Lema is my hero
Ana akili kama za malcom x..
Watamtoa tu..walichokifanya ni nonsense
Uamuzi mzuri waache wananchi wote tuyajuwa unaweza kuuona utoto mpaka mwenyewe yanakutokea yanayomtokea Lema jamani ifike mahali Polisi wafanye kazi zao sio kuvimbisha misuli na ubabe akiiset vizuri hii move inaweza kuleta maajabuHizi mbwembe zingine bwana... Siasa za utoto.
Ni afadhali kuishi miaka hamsini jela huku sababu ikiwa ni kupinga uonevu na ukandamizaji kuliko maisha ya woga na anasa yasiyo na kusudi katika kutetea utu na heshima ya mwanadamu .
mambo mengine bwana, huyu bwana mdogo kupenda sifa na kuwatumia maley man wa arusha ndio nn?
watu wamekuchagua kwa kutaraji maendeleo lkn kila ucho ww na scandal za kijinga kwa nn ?
jifunze bwana mdogo kuendesha siasa za kistaarabu hebu waangalie wenzio wa chama chako mbona hawako kama ww ? au ww tu ndio shujaa na unaonewa ?
Mkuu, Lema is something else...........kuanvichwa ninavyovijua mimi vinaweza kuwa kama yeye lakii havijawa kwenye political area aliyokuwa nayo Lema.Mara kadhaa nmekuwa nasema, Lema ni aina ya mwanasiasa ambaye vichwa panzi wengi watachukua mda sana kumuelewa!
Siasa anayoiwasilisha kwetu kizazi hchi cha masharabaro ni "oversize", siasa ya ukombozi na mapinduzi ya fikra na mtazamo.....
Hata kama wengi wetu tutamwona mwehu na mpenda sifa asiyefaa ila ukweli mchungu utakuwa sisi (wengi wetu) ndio hatujui kipi sahihi kwa mda upi sahihi yatupasa tufanye nini....
Tafakari kuu ni namna ya kuziunga mkono hzi harakati wakati tunaelekea miaka 50 mingine ya "uhuru" (????)
jamani majuzi millya alitoka mahakamani na msafara wa miguu hadi ofisini kwake police hawakumkamata ila lema katoka hivyo hivyo kwa miguu tena na watu wachache anaambiwa kaandamana why Tanzania tuna double standads?
Mwizi wa billion 200 anfungwa miaka miwili na wa milion themanini anafungwa miaka arobaini! Ukiwa na issue bongo kwenye serikali yetu unatafuta unaefahamiana au ndugu! je ukiwa hauna? hupati fulsa ya kufaidi uhuru aliotuachia Nyerere! Haki sawa kwa wote sio ccm na jamaa zao tu!!
Huu ni usanii wa kijinga na ambao hauna tija. Lema anaonekana kama kituko sasa. Upuuzi mtupu!
Nimegunduwa kwa muda mrefu tumetawaliwa na viongozi wasiowafahamu wananchi wala kujuwa shida zao.NIliposikia wengine wanaandamana kupinga uovu, uonevu, wizi, ufisadi na ukandamizaji wa haki nikasema ni hao na wala sio mimi, kumbe nilipaswa kuwa mbele katika harakati hizi.
Nilipoona wenzangu hawawezi kupata matibabu nikasema mimi sio mgonjwa, nilipopata taarifa za rafiki zangu kufungwa kwa makosa yasiyo yao, nilipoona watoto wa mitaani wanaomba chakula, nilipoona wazee wamepoteza matumaini ya kuishi katika uzee wao, nilipoona vijana hawana ajira, nilipoona mabinti wasichana wadogo wameamua kufanya biashara ya ukahaba, NIKATAFAKARI,TENA NIKATAFAKARI, dhahabu zetu, almasi yetu, Milima na mabonde yetu, Tanzaninte yetu, samaki wetu, Uranium yetu, makaa ya mawe yetu, utalii wetu, ardhi na kilimo chetu na zaidi utu na mahusiano yetu.
Na sasa siwezi kukaa kimya tena.NI afadhali vita inayotafuta haki na usawa kuliko amani inayopumbaza na kudhalilisha utu wa mwanadamu. Na katika msingi huu hofu na mashaka vimekosa thamani kwangu, sitamwogopa mtu yoyote,mwenye silaha yoyote, mwenye cheo chochote na wala sitaogopa jela yoyote katika kupigania haki, utu wa kweli katika jamii yangu.
nadhani ungejitahidi kusoma hiyo meseji ya lema kwa ufasaha ukaelewa. hakukosa wadhamini ila kagomea dhamana kama njia ya kufikisha changamoto kwa umma kwamba jela, polisi na mauti haviwezi kuzuia mageuzi ya kweli dhidi ya manyanyaso, dhuluma, uonevu na ukandamizi.Cdhani kama kuna ukweli hapa!ngoja ntajaribu kupata ukweli!najiuliza iweje Lema akose wadhamini hapa?sijui
Tupia na upande mwingine wa shilingi jee Serikali ya Tanzania na Polisi wanatenda haki kwa mbunge huyu huwezi amini CCM yote na mwenyekiti wao Mh Mrisho Jakaya Kikwete wametumbukia nyongo kwa kutaka kumtoa roho kijana huyo siasa gani za maguvu si warudishe utawala wa chama kimoja tujue moja basimambo mengine bwana, huyu bwana mdogo kupenda sifa na kuwatumia maley man wa arusha ndio nn?
watu wamekuchagua kwa kutaraji maendeleo lkn kila ucho ww na scandal za kijinga kwa nn ?
jifunze bwana mdogo kuendesha siasa za kistaarabu hebu waangalie wenzio wa chama chako mbona hawako kama ww ? au ww tu ndio shujaa na unaonewa ?