Jiwejeusi
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 754
- 131
Ni katika harakati ya kujivua gamba na kuinusuru CCM mkoani shinyanga. Mbunge wa CCM viti maalum, LUCY MAYENGA amejikuta akipata aibu ya kuzomewa. Dhahama hiyo ilitokea baada ya mbunge huyo kutaka kuwarubuni vijana kwa kusema atawapatia misaada na mikopo ya wajasliamali. Vijana hao wa stendi ya basi walimzomea na kumwambia hatutaki misaada.