mbunge wa viti maalum ccm kutoka mkoa anakotokea Pinda ameibiwa baa usiku wa saa nane za usiku akila bata huko Dodoma.
Source: wapo Radio.
Mbunge ni mtu kama wewe tu wakati mwingi. Sasa t
ukiweka matukio ya watu wooote humu sijui vipi. WAKE UP!
Kwa mantiki ya Kiswahili, mtu hawezi "kuibiwa". Kimsingi, hakuna kitu chochote "kinachoibiwa", ila, mali huibwa.
Ulipaswa kuandika "mali za mbunge wa viti maalum zaibwa akiwa bar...."
Kiswahili ni kigumu, tusiwe wepesi kuendelea kukubali makosa makubwa, kama vile wanaosema "nyimbo hii" wakati walipaswa kusema "wimbo huu".
Km malima alilambishwa 'nido' pale moro na kuibiwa, huyu wa kike atakuwa kalambishwa nini?
Naye alikua na boyfriend?