Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
Ugua pole baba.
Kumbe tangu kipindi kile hajawahi kupona!?
Dah pole sana.
hapa hoja nadhani ni kuwataka wabaya wake waanze KUPASHA
Ugua pole baba.
Kumbe tangu kipindi kile hajawahi kupona!?
Dah pole sana.
Basi labda mi ndo sijakuelewa wewe. naishangaa hiyo RIP yakoKi vipi mkuu?RIP Sumari
Basi labda mi ndo sijakuelewa wewe. naishangaa hiyo RIP yako
Taarifa ni kwamba amepata tatizo kubwa katika ubongo wake ambako madaktari wamegundua kitu kilichoota ndani ya kichwa, kitu ambacho kinaathiri ubongo wake kiasi cha kupoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili wake. Sumari ambaye alilazimika kulazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, anaondoka leo kwa ndege ya Oman Air.
Kumbe alikuwa hapingi ufisadi na bado kapelekwa India kwa kodi za wananchi?"na wewe (Dr Slaa) tafuta hoja nyingine" by jeremiah sumari june 2009.
kauli hii ilitolewa bungeni na mhe.Sumari (naibu waziri wa fedha) wakati akijibu swali la nyongeza la Dr. Slaa kuhusu kufanya ukaguzi wa mahesabu ya meremeta na tangold.
kesho yake...
"waziri amejibu majibu ya hovyo hovyo" by zitto kabwe.
ugua pole mhe sumari, tupo nyuma yako katika sala.
Nakubaliana na wewe mkuu.Nakumbuka akiwa Naibu waziri wa mipango alishawahi mjibu jibu la hovyo sana Dr Slaa wakati anaulizia swala la Deep Green na Meremeta. Akijibu kwa hasira alisema "Na wewe huna kitu kingine cha kuongea kila siku meremeta tu". Kauli hii ilikuwa mbovu sana na kwa upande mmoja alimdharirisha mbunge mwenzake. Watu wa design ya Sumari bora waishie India hukohuko, kwani hili ndio lilelile genge nyonya nchi. Kama mungu atamua kuwapunguza kwa style yake bora awamalize tu kwani sisi wanamapinduzi hatuna sumu ya kawatega wanyonya nchi ili ikuwatokomeza kama wao wanavyofanya
Hali ya afya ya Mbunge wa Arumeru Mashariki, Jeremiah Sumari, si nzuri na mchana huu anasafirishwa kwenda India kwa matibabu. Sumari ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Fedha, alianza kuugua hata kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010 ambako baadhi ya maeneo alilazimika kusaidiwa kampeni. Tunamuombe Mungu ampe afya njema arudi kujenga Taifa.
Taarifa ni kwamba amepata tatizo kubwa katika ubongo wake ambako madaktari wamegundua kitu kilichoota ndani ya kichwa, kitu ambacho kinaathiri ubongo wake kiasi cha kupoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili wake. Sumari ambaye alilazimika kulazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, anaondoka leo kwa ndege ya Oman Air.
Iliwahi kuzungumzwa hapa, japo baadhi yetu tulijadili bila utu. Tujaribu kuweka ubinadamu mbele, siasa baadae.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-mbunge-wa-arumeru-mashariki-ni-mgonjwa.html