Mbunge Solwa aipa Mtihani Sheria Gharama za Uchaguzi

Mgoyangi

Senior Member
Feb 6, 2008
184
9
Sheria ya Gharama za Uchaguzi ya Mwaka 2009 iliyosainiwa kwa mbwe mbwe na Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete ambayo ina lengo lake ni kudhibiti vitendo vinavyoonekana kuwa rushwa, imetahiniwa na Mbunge wa Solwa CCM - Ahmed Salum, ambaye ametoa magari mawili ya wagonjwa kama msaada kwa wananchi ikiwa ni siku chache baada ya sheria hiyo kutangazwa kuwa ianze kutumika.

Akifungua Mkutano wa kazi wa mwaka wa TAKUKURU, jijini Mwanza, Rais Kikwete katika hatua ya kutangaza nia yake ya kidhinisha sheria hiyo kwa mbwembwe alihoji vitendo kama hivi, kwamba kwa nini iwe sasa hivi, wakati tukielekea uchaguzi mkuu na isiwe kabla.

Lakini Mbunge huyu wa Solwa kaamua kuweka pamba Masikioni na kutoa misaada hii, ukiacha kampeni yake ya kuingiza wananchama wapya kwa kuwanunulia kadi na semina za hapa na pale na posho mbali mbali kwa wapambe.
 
Sheria ya Gharama za Uchaguzi ya Mwaka 2009 iliyosainiwa kwa mbwe mbwe na Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete ambayo ina lengo lake ni kudhibiti vitendo vinavyoonekana kuwa rushwa, imetahiniwa na Mbunge wa Solwa CCM - Ahmed Salum, ambaye ametoa magari mawili ya wagonjwa kama msaada kwa wananchi ikiwa ni siku chache baada ya sheria hiyo kutangazwa kuwa ianze kutumika.

Akifungua Mkutano wa kazi wa mwaka wa TAKUKURU, jijini Mwanza, Rais Kikwete katika hatua ya kutangaza nia yake ya kidhinisha sheria hiyo kwa mbwembwe alihoji vitendo kama hivi, kwamba kwa nini iwe sasa hivi, wakati tukielekea uchaguzi mkuu na isiwe kabla.

Lakini Mbunge huyu wa Solwa kaamua kuweka pamba Masikioni na kutoa misaada hii, ukiacha kampeni yake ya kuingiza wananchama wapya kwa kuwanunulia kadi na semina za hapa na pale na posho mbali mbali kwa wapambe.

Nani kasema hiyo sheria inazuia kutoa misaada sasa hivi? Hiyo sheria haimfungi mtu yeyote (mgombea au otherwise) kutoa misaada au kufanya mambo ambayo angeyafanya kama mbunge au mwananchi wa kawaida.
 
Nani kasema hiyo sheria inazuia kutoa misaada sasa hivi? Hiyo sheria haimfungi mtu yeyote (mgombea au otherwise) kutoa misaada au kufanya mambo ambayo angeyafanya kama mbunge au mwananchi wa kawaida.

MJJ,
Kwenye thread mama nilikuuliza hili...suala ni timing ya huu msaada...why not next year?
 
Nani kasema hiyo sheria inazuia kutoa misaada sasa hivi? Hiyo sheria haimfungi mtu yeyote (mgombea au otherwise) kutoa misaada au kufanya mambo ambayo angeyafanya kama mbunge au mwananchi wa kawaida.

Sheria inasema kuwa misaada inayotangazwa na kupingwa ni ile iliyo na connection ya moja kwa moja na kupata ugombea ubunge( actually sheria inasema inayopokelewa au kutolewa siku 30 kabla ya uchaguzi).

That means kwa sasa mbunge ametoa msaada kama mbunge wa jimbo na huo ni wajibu wake kikatiba. Tulipowachagua matajiri watuongoze tulitaka watoe vitu kama magari wakati unapofika. I see no harm in him doing what he did.
 
Back
Top Bottom