Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
good pwenti ila lazima ukubali kwamba watu wamechoka na wanateseka kila siku
usomacho ni hali halisi ya chuki itokanayo na unfair society
Nadhani kuweka chuki si jambo la busara.. ...cha maana ni kujilaumu sisi wenyewe kwa kuwapa kura. .....hivyo tuvumilie muda uishe tuamue tena......ndiyo demokrasia