LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Apelekwe India kama kawa!
Mbunge wa Iramba Mashariki-CCM-Salome Mwambu ni mgonjwa mahututi na amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi-ICU.
Msemaji wa MNH Aminiel Aligaesha amesema kimsingi hali ya mbunge huyo siyo nzuri.Amelazwa hospitalini hapo tangia Julai 21.
Mbunge huyo anasumbuliwa na kisukari na shinikizo la damu.
Source: Nipashe Ijumaa.
Inasemekana wakimwahisha India anaweza asifike hata J.K.I Airport
Nijuze mchango wake kuhusu Madaktari ukoje? Kama aliwaponda basi hatuna haja ya kujihusisha nae. Mdomo umtibu!
Nijuze mchango wake kuhusu Madaktari ukoje? Kama aliwaponda basi hatuna haja ya kujihusisha nae. Mdomo umtibu!
Bila CT-Scan, atapimwa na nini???? Hayo ndiyo matunda ya kuunga hoja kwa asilimia 100. drs- keep it up.
nakwambia watapeleka india tu.... that is the fact, wanasiasa na madaktri kwa sasa ni petroli na kiberiti.....Drs fanyeni kazi yenu!
sorry buddy.... this is krrapBila CT-Scan, atapimwa na nini???? Hayo ndiyo matunda ya kuunga hoja kwa asilimia 100. drs- keep it up.