MjuviKitambo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 711
- 809
Kap u ya amebaka
yule bibi vitu maalum kamuoa mjukuu wake,
EL fisadi wa kutupwa,
Mzee wa kucheka cheka anahonga mpaka ofisi za umma(ukuu wa
Wilaya/mikoa),
Pi n då wapigwe tuu amechoka, magufuli kutekeleza sheria anazuiwa,
badala ya kukamata majangili wanateka na kutesa wanavijiji tuuu, mapapa wanapeta,
madawa ya kulevya ni kama pipi tuu,
wanaomba pesa hadharani (bajeti) kukaguliwa matumizi yake kunafanyika gizani,
Huyu mjinga nae unadhani atasema nini? Waacheni watutukane si ndivyo tupendavyo???
Mijitu ina uwezo zaidi ya hawa imekaa tu haifanyi lolote!!!!!! Wacha wajinga watutawale
yule bibi vitu maalum kamuoa mjukuu wake,
EL fisadi wa kutupwa,
Mzee wa kucheka cheka anahonga mpaka ofisi za umma(ukuu wa
Wilaya/mikoa),
Pi n då wapigwe tuu amechoka, magufuli kutekeleza sheria anazuiwa,
badala ya kukamata majangili wanateka na kutesa wanavijiji tuuu, mapapa wanapeta,
madawa ya kulevya ni kama pipi tuu,
wanaomba pesa hadharani (bajeti) kukaguliwa matumizi yake kunafanyika gizani,
Huyu mjinga nae unadhani atasema nini? Waacheni watutukane si ndivyo tupendavyo???
Mijitu ina uwezo zaidi ya hawa imekaa tu haifanyi lolote!!!!!! Wacha wajinga watutawale