Mbunge sadifa juma khamis (ccm): Nipo tayari kumpiga risasi baba yangu

IDIOS

Member
May 3, 2012
84
20
MBUNGE wa Donge, Sadifa Juma Khamis (CCM), amesema yupo tayari kumpiga risasi baba yake iwapo atashiriki kwenye maandamano yasiyo na kibali cha polisi. Sadifa alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akichangia hotuba ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambapo alisema anaunga mkono polisi kutumia silaha za moto kwenye maandamano. Alisema anapinga michango iliyotolewa na baadhi ya wabunge wenzake ambao walitaka polisi wasiwe wanakwenda kwenye maandamano na silaha za moto. “Jamani mimi nipo tayari kumshoot (kumpiga risasi), baba yangu kama atakuwa amehudhuria maandamano yaliyokataliwa na polisi, nimepitia jeshini, najua ufanyaji kazi wa polisi. “Ni lazima polisi apewe silaha za moto kwenye maandamano maana wengine hapa wanayafanya bila kibali, kama mnataka polisi wasiwapige risasi basi fuateni taratibu za kufanya maandamano,” alisema. Awali kabla ya Sadifa kuchangia hotuba hiyo, Mbunge wa Viti Maalumu, Naomi Kaihula (CHADEMA), alilitaka jeshi hilo kutokwenda na silaha za moto kwenye maandamano mbalimbali. Alisema hivi sasa limekuwa jambo la kawaida kwa askari polisi kwenda katika maandamano wakiwa na silaha za moto ambazo wakati mwingine wamekuwa wakizitumia, jambo linalosababisha vifo na majeruhi kwa waliohudhuria. Kaihula alibainisha kuwa polisi wanapaswa kutambua wajibu na dhamana yao kwa Watanzania kwa kutoegemea upande wa chama chochote katika utendaji wao. “Hali ya sasa inaonyesha matumizi ya nguvu ya polisi ni makubwa, polisi wanaogopwa wanapokamata hata kibaka wanatumia silaha kali za moto, lakini pia kuna tatizo la polisi kujihusisha na siasa, vitu hivi viwili vinapaswa vitengane kwani ni tishio kwa usalama wa nchi,” alisema Kaihula. Naye Mbunge wa Viti Maalumu, Chiku Abwao (CHADEMA), aliwatahadharisha polisi kuwa kamwe wasitegemee CCM itaendelea kukaa madarakani milele, kwani ipo siku chama hicho kitang’oka, hivyo ni vema wao wakafanya kazi zao bila upendeleo. Alisema watawala wa kibaguzi nchini Afrika Kusini walikuwa wakivitumia vyombo vya dola kuwaua wandamanaji na wale waliokuwa wakiupinga utawala huo lakini ulipofika mwisho waling’oka madarakani. SOURCE: TANZANIA DAIMA TAREHE: TAREHE 19 JULY, 2012.
 
MBUNGE wa Donge, Sadifa Juma Khamis (CCM), amesema yupo tayari kumpiga risasi baba yake iwapo atashiriki kwenye maandamano yasiyo na kibali cha polisi. Sadifa alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akichangia hotuba ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambapo alisema anaunga mkono polisi kutumia silaha za moto kwenye maandamano. Alisema anapinga michango iliyotolewa na baadhi ya wabunge wenzake ambao walitaka polisi wasiwe wanakwenda kwenye maandamano na silaha za moto. “Jamani mimi nipo tayari kumshoot (kumpiga risasi), baba yangu kama atakuwa amehudhuria maandamano yaliyokataliwa na polisi, nimepitia jeshini, najua ufanyaji kazi wa polisi. “Ni lazima polisi apewe silaha za moto kwenye maandamano maana wengine hapa wanayafanya bila kibali, kama mnataka polisi wasiwapige risasi basi fuateni taratibu za kufanya maandamano,” alisema. Awali kabla ya Sadifa kuchangia hotuba hiyo, Mbunge wa Viti Maalumu, Naomi Kaihula (CHADEMA), alilitaka jeshi hilo kutokwenda na silaha za moto kwenye maandamano mbalimbali. Alisema hivi sasa limekuwa jambo la kawaida kwa askari polisi kwenda katika maandamano wakiwa na silaha za moto ambazo wakati mwingine wamekuwa wakizitumia, jambo linalosababisha vifo na majeruhi kwa waliohudhuria. Kaihula alibainisha kuwa polisi wanapaswa kutambua wajibu na dhamana yao kwa Watanzania kwa kutoegemea upande wa chama chochote katika utendaji wao. “Hali ya sasa inaonyesha matumizi ya nguvu ya polisi ni makubwa, polisi wanaogopwa wanapokamata hata kibaka wanatumia silaha kali za moto, lakini pia kuna tatizo la polisi kujihusisha na siasa, vitu hivi viwili vinapaswa vitengane kwani ni tishio kwa usalama wa nchi,” alisema Kaihula. Naye Mbunge wa Viti Maalumu, Chiku Abwao (CHADEMA), aliwatahadharisha polisi kuwa kamwe wasitegemee CCM itaendelea kukaa madarakani milele, kwani ipo siku chama hicho kitang’oka, hivyo ni vema wao wakafanya kazi zao bila upendeleo. Alisema watawala wa kibaguzi nchini Afrika Kusini walikuwa wakivitumia vyombo vya dola kuwaua wandamanaji na wale waliokuwa wakiupinga utawala huo lakini ulipofika mwisho waling’oka madarakani. SOURCE: TANZANIA DAIMA TAREHE: TAREHE 19 JULY, 2012.

Nilimsikia huyu mzanzibar akiongea jana, ukweli ni kuwa anaonyesha ambavyo akili zake ni fupi na hajui anasema nini. Ni wa kusamehe bure kabisa.
 
Nilimsikia huyu mzanzibar akiongea jana, ukweli ni kuwa anaonyesha ambavyo akili zake ni fupi na hajui anasema nini. Ni wa kusamehe bure kabisa.
Anawaza ya leo tu,siyo kesho na keshokutwa itakuaje. ***** kama huyu anawaza CCM itatawala milele. Kumbe kesho mambo yakigeuka atasahau kama amewahi tamka kauli ya kijinga kama hii,ataanza kuwalalamikia Polisi.
 
Hivi alizungumza hayo in 3D, au alikuwa anawalenga CDM tu?

I believe baba yake au ndugu yake wa karibu na mbunge huyu wa Donge ni mwana UAMUSHO. Ninawaomba POLISI wawa TAG, Siku wakiandamana tu maandamano ya UAMUSHO Polisi wawapige RISASI in cold blood. Baada ya hapo Sadifa Juma Khamis atatia akili kichwani mwake. What goes around comes around.
 
Kwa bahati mbaya mzanzibar mwenye akili alikufa prof. Haroub Othman; utampiga risasi baba yako mzazi eti kisa kaandamana??? kweli zenj ni nchi ya weusi kama sio giza. Kwa nini usiondoe zile kero zilizomfanya aandamane kabla ya kupiga risasi?

Wazanzibar, wamemsikia watamhukumu ikifika wakati, najua prof angekuwepo angetoa andiko la kisomi.
 
Wanzanibar akili zao ni fupi kama za mtetea sasa huyu ndie mwenye akili kuliko wote huko donge hadi wakamchagua aje dodoma kuwawakilisha. Hao wananchi wenzake waliobaki huko porini donge sijui wana hali gani.

"Say no to Muungano"
 
Magamba wana roho mbaya sana. Yule bi mchawi, sorry, speaker alikataa kihuni hoja ya Hamad Rashid kuahirisha silly session kwa sababu za kipuuzi sana. Sasa huyu mjinga hajui kwa maneno yake hayo keshachuma laana? Ndio michango kama hii Anna Makinda anaona ina tija kwa Tz, more than the loss of innocent souls (who are probably the victims of yet another scum from TISS/CCM).
 
MBUNGE wa Donge, Sadifa Juma Khamis (CCM), amesema yupo tayari kumpiga risasi baba yake iwapo atashiriki kwenye maandamano yasiyo na kibali cha polisi. Sadifa alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akichangia hotuba ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambapo alisema anaunga mkono polisi kutumia silaha za moto kwenye maandamano. Alisema anapinga michango iliyotolewa na baadhi ya wabunge wenzake ambao walitaka polisi wasiwe wanakwenda kwenye maandamano na silaha za moto. "Jamani mimi nipo tayari kumshoot (kumpiga risasi), baba yangu kama atakuwa amehudhuria maandamano yaliyokataliwa na polisi, nimepitia jeshini, najua ufanyaji kazi wa polisi. "Ni lazima polisi apewe silaha za moto kwenye maandamano maana wengine hapa wanayafanya bila kibali, kama mnataka polisi wasiwapige risasi basi fuateni taratibu za kufanya maandamano," alisema. Awali kabla ya Sadifa kuchangia hotuba hiyo, Mbunge wa Viti Maalumu, Naomi Kaihula (CHADEMA), alilitaka jeshi hilo kutokwenda na silaha za moto kwenye maandamano mbalimbali. Alisema hivi sasa limekuwa jambo la kawaida kwa askari polisi kwenda katika maandamano wakiwa na silaha za moto ambazo wakati mwingine wamekuwa wakizitumia, jambo linalosababisha vifo na majeruhi kwa waliohudhuria. Kaihula alibainisha kuwa polisi wanapaswa kutambua wajibu na dhamana yao kwa Watanzania kwa kutoegemea upande wa chama chochote katika utendaji wao. "Hali ya sasa inaonyesha matumizi ya nguvu ya polisi ni makubwa, polisi wanaogopwa wanapokamata hata kibaka wanatumia silaha kali za moto, lakini pia kuna tatizo la polisi kujihusisha na siasa, vitu hivi viwili vinapaswa vitengane kwani ni tishio kwa usalama wa nchi," alisema Kaihula. Naye Mbunge wa Viti Maalumu, Chiku Abwao (CHADEMA), aliwatahadharisha polisi kuwa kamwe wasitegemee CCM itaendelea kukaa madarakani milele, kwani ipo siku chama hicho kitang'oka, hivyo ni vema wao wakafanya kazi zao bila upendeleo. Alisema watawala wa kibaguzi nchini Afrika Kusini walikuwa wakivitumia vyombo vya dola kuwaua wandamanaji na wale waliokuwa wakiupinga utawala huo lakini ulipofika mwisho waling'oka madarakani. SOURCE: TANZANIA DAIMA TAREHE: TAREHE 19 JULY, 2012.

hii kauli inaonyesha huyu mbunge huamua bila kufikira kabisa. Kama anamheshimu baba yake aliyemlea na kumfikisha hapo, angetaka kujua undani wa baba yake kuandamana badala ya kufikiria kumshoot. Inamaana haamini maamuzi ya baba yake? Tunahitaji wabunge wanaofikiria na kuamua kulingana na mazinngira na muda siyo hawa wasiofikiria kabisa.
 
Kwanza hana sifa za kuwa Mbunge tunaomfahamu tunashangaa sana kuwa Mbunge.
 
...hii midude mingine imezaliwa ikiwa tayari imelaaniwa,iko tayari kuuwa mtu yeyote ilimradi iendelee kuwa marakani...
 
Uwezo mdogo wa kufikiri na ukichanganya na ulala heri basi amekuwa brain dead. He barely can think beyond his nose
 
Nilimsikia huyu mzanzibar akiongea jana, ukweli ni kuwa anaonyesha ambavyo akili zake ni fupi na hajui anasema nini. Ni wa kusamehe bure kabisa.

huyu ni wakutafuta alafu aegeshewe gobore kwenye masaburi alafu ulikoki utasikia atakavyoharisha na kujamba kwa kasi ya hatari
 
Back
Top Bottom