VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mbunge wa Morogoro Mjini-CCM,Aziz Abood amekaririwa akisema kuwa vitendo vinavyoendelea kufanywa na Polisi Jimboni mwake,kurindimisha mabomu ya machozi na risasi ni kumpora Jimbo lake.
Taarifa toka kwa Msaidizi wa Mbunge huyo zinadai kuwa vitendo hivyo vya Polisi vinajenga chuki baina ya wananchi na Serikali yao hivyo kuweka jimbo hilo na CCM kwa ujumla mashakani. Ameapa kulalamika kwenye vikao vya Chama. Mwenye maji ampunguzie mwenzie...ngoma inogile!
Taarifa toka kwa Msaidizi wa Mbunge huyo zinadai kuwa vitendo hivyo vya Polisi vinajenga chuki baina ya wananchi na Serikali yao hivyo kuweka jimbo hilo na CCM kwa ujumla mashakani. Ameapa kulalamika kwenye vikao vya Chama. Mwenye maji ampunguzie mwenzie...ngoma inogile!