Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ni siku chache zimepita Katiibu MKuu wa CCM alizomewa nyumbani kwao Musoma . Lakini nimekuwa najiuliza kwa nini azomewe na wakati ni mpya na alikuwa anajitambulisha pia ? Nikagundua kwamba ni CCM tena kushindwa kusoma alama zanyakati kwa kumwachia kilaza Matayo kuhutubia na kuwaudhi wananchi wa Musoma kwa kumtukana Mbunge wao na Meya kwamba ni wezi .
Matayo amezusha uongo wa kuibiwa kwa madawati ambayo bila kutumia akili alitamka kwamba ni mali ya famiia yake na kusema anakwenda mahakamani kufungua kesi .Mimi nangojea kuona kesi inafunguliwa then tuone itakavyo unguruma .
Ukweli wa madawati ni huu hapa .Mbunge na Meya walifanya ziara katika shule zote za Jimbo na wakafika shule mojaa ya mjini wakakuta kweli Mataya alichangia madawati hayo siku za nyuma . Madawati yalikuwa yamerundikana stoo hayana matumizi maana katikaa shule hiyo ya mjini kila darasa lilikuwa na madawati ya kutosha na hapakuwa na upungufu ila kuna bakaa ( Surplus) Busara za Mbunge zikatumika kwamba kuna shule hazina kabisa madawati basi yachukuliwe yake wapewe shule ambazo hazina madawati . Hilo likafanyika vyema sana.
Matayo kupata habari za gawiwo hilo ilikuwa too late ndiyo amekuwa bitter sasa na kuanza kuhubiri ujinga mwingi na hata kupelekea kuuharibu mkutano wa Katibu mkuu wao . Je ndugu watanzania kwa kitendo kile alicho kifanya Mbunge na Meya kuna lawama ? Je kulikuwa na hajaa ya Matayao kusema ni madawati ya familia yake yameibiwa ? Je kulikuwa na haja ya kusema Mbunge na Meya wameiba madawati ?
Matayo amezusha uongo wa kuibiwa kwa madawati ambayo bila kutumia akili alitamka kwamba ni mali ya famiia yake na kusema anakwenda mahakamani kufungua kesi .Mimi nangojea kuona kesi inafunguliwa then tuone itakavyo unguruma .
Ukweli wa madawati ni huu hapa .Mbunge na Meya walifanya ziara katika shule zote za Jimbo na wakafika shule mojaa ya mjini wakakuta kweli Mataya alichangia madawati hayo siku za nyuma . Madawati yalikuwa yamerundikana stoo hayana matumizi maana katikaa shule hiyo ya mjini kila darasa lilikuwa na madawati ya kutosha na hapakuwa na upungufu ila kuna bakaa ( Surplus) Busara za Mbunge zikatumika kwamba kuna shule hazina kabisa madawati basi yachukuliwe yake wapewe shule ambazo hazina madawati . Hilo likafanyika vyema sana.
Matayo kupata habari za gawiwo hilo ilikuwa too late ndiyo amekuwa bitter sasa na kuanza kuhubiri ujinga mwingi na hata kupelekea kuuharibu mkutano wa Katibu mkuu wao . Je ndugu watanzania kwa kitendo kile alicho kifanya Mbunge na Meya kuna lawama ? Je kulikuwa na hajaa ya Matayao kusema ni madawati ya familia yake yameibiwa ? Je kulikuwa na haja ya kusema Mbunge na Meya wameiba madawati ?