Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
Kuna tetesi kuwa mbunge mwingine ambaye amewahi kuwa naibu waziri amefariki! Wenye news turushieni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameomba ajuzwe kama huna jibu vuta subira akijibiwa utatambua. R.I.P Hon Jeremiah SumariSasa hizi habari gani bana hebu lete habari inayoweza eleweka
mwaka huu serikali lazma ifilisike hata ikitetewa na tendwa
=kafulila
=rashid hamad
=uzini
=sumary
=..........
=...........
=............
kura moja ccm wananunua laki 3 na bado miaka4.