Mbunge mwenye uchungu wa kweli

kumwelimisha ndugu yangu ni ni kwamba Gari ni lazima awe nalo na ukizingatia barabara zetu za vijijini zilivyo hiyo aikwepeki na hua inakua ivi gari kama yale mashangingi yahimili vishindo na unaweza kukaanalo hata miaka kumina ndio maana bei gali upo hapo.
Mafno wilaya yako mtoa mada inaweza kuwa vijiji hata 30 na zaidi au pungufu, kuna matawi, mashina na wazee wa vijiji kata na vitongoji so unaposema mshahara na posho+marupurupu uwa inawasaidia wabunge kufikia watendaji wake kila vijiji ukizingatia mafuta, nakadhalika inatoka mfukoni kwake akuna budget ya mbunge ya kuendesha jimbo huwa izo hela zinatoka mfukoni kwako kwa maantiki hiyo ukiwa na watu Milioni2 katika jimbo lako utakuta hata hiyo hela aitoshi ingawa unapoisikia ikitamkwa unaona nyingi
Kingine kwani si ndio mshara wake katika hiyo ajira? je wewe unaweza kufanya kazi bila malipo?

kuwa mwungwana mchangiaji
 
Niliwasikia Mnyika kasema robo ya mshahara wake utachangia katika moja ya miradi ya maendeleo ya ubungo.
Lakini sio issue kulipwa kingi as long you are doing what people are expecting awe CCM,CDM,CUF,NCCR NA WENGINEO.
Na nidhana potufu kusema eti kukubali mshahara huo ni uadilifu au uzalendo mbona mimi nalipwa kikubwa kwa post yangu na nina wajua jamaa wenye post na qualification kama zangu makampuni mengine wanaminywa je unataka mimi nikatae haya masalalilo.
Kuna jamaa kibao weanalipwa bags of money mjini kwa kazi yao, so chapa kazi ulipwe ujira wako
.

Tukiongelea mishahara ya wabunge, mkuu hapa tunaongelea pesa ya walipa kodi. Hata kama na wewe unakula hiyo hela ya walipa kodi kwa kiwango ambacho unajua si haki ujue na wewe ni miongoni mwa wale wanaonufaika na mfumo mbovu wa sasa!

Ni ukweli ulio wazi kuwa wabunge wetu wanalipwa hela nyingi sana na mbaya zaidi wengi wao bado wanaamini kuwa kwa sasa mafao yao bado ni madogo....!

TAFAKARI!
 
Beneficiaries wa mkopo wanaonekana kuwa wakali kama mbogo. Naungana na mtoa mada kuwa kuchukua ule mkopo ni kukosa uchungu wa kweli wa nchi i.e uzalendoless.
 
Beneficiaries wa mkopo wanaonekana kuwa wakali kama mbogo. Naungana na mtoa mada kuwa kuchukua ule mkopo ni kukosa uchungu wa kweli wa nchi i.e uzalendoless.
Ni kweli jamaa wanakuwa wakali bila kufikiri kwa kina. Sasa kama ndiyo hivyo basi,, tusimlalamike JK anaposafiri kwa sababu ni sehemu ya kazi yake na hiyo pesa lazima itumike kwenye safari za Rais. Na hii ni kwa Rais yeyote si lazima JK tu, hata Slaa akiwa Rais. Haikwepeki kama ambavyo mnasema matumizi ya Mbunge hayakwepeki. Fair play.
 
T.L.P....BIHARAMULO (R.I.P) PHARES KABHUYE...........alikuwa na baiskeli na alifariki kwenye ajali ya basi....na akiwa bungeni DODOMA alikuwa akiishi kwenye LODGE ZA bei ya wastani (6,000-10,000)
Na pia nyumba aliyokuwa akiishi haikuwa na umeme ili afanane na watu wake pia apate ladha ya maisha waishio watu wake ili awe mwakilishi wa kweli wa wananchi
 
NIMROD MKONO.....(?) MUSOMA VIJIJINI.... tafuta taarifa zaidi utamwelewa
 
FUSO mawazo yako si mabaya ila hayo ni malipo yao halali na yaneidhinishwa cha msingi hapa ni utendaji tu wa kila Mbunge kwa Wananchi wake kwani hata leo Mbunge yeyote akikataa malipo hayo yatafanya shughuli zingine waache tu watumie jasho lao,Maana isije kuwa kama Waziri Mkuu wako aliyekataa gari wakati lishanunuliwa na linatumika serikalini kama kawaida.Kwa ivo there is no need kuumiza kichwa chako
 
Mbunge atakayefanya uliyoorozesha hapo ni hatari! Na wa kuogopwa kama ukimwi.
Anaweza akaila TZ kinyume na maumbile!
Vipesa vyenu halali hivyo akawaachia!
 
Kila mtu anapenda kulipwa vizuri...ila kuna watu wanataka kulipwa vizuri kazi hawafanyi/hawawezi! Siwezi kumhukumu mbunge yeyote atakayedaka mamilioni ya ubunge halafu akatimiza wajibu wake i.e kutetea maslahi ya watu wa jimbo lake na Tanzania kwa ujumla, ila nina tatizo na mbunge anayedaka hela yote hiyo halafu hayuko kwa maslahi ya waTanzania.
Msilahi ya Wafanyakazi kulipwa 100,000 na wao kupewa millioni 12? Huniuzii biashara hiyo hata siku moja kwani nahisi ni sawa na wale wafalme kule uarabuni.
 
Mbunge atakayefanya uliyoorozesha hapo ni hatari! Na wa kuogopwa kama ukimwi.
Anaweza akaila TZ kinyume na maumbile!
Vipesa vyenu halali hivyo akawaachia!

nilikuwepo dodoma wakati hawa waheshima wanaapishwa, mi na rafiki zangu ka watatu tulipata ya chatting na Lema, jamaa kwa maongezi yake ana maono ya ajabu na arusha, katika mengi aliyotuambia mojawapo ni mradi wa kukopesha arusha kwa riba nafuu, alidai ile pesa yote ya gari hatonunua gari bali ataingiza kwenye huo mfuko na atatafuta mikopo plus fundraising ili kuutunisha mfuko, ili kuwakwamua wakazi wa arusha, kwa hiyo kuna watu wanaweza kudevote kwa jamii vilivyo halali kwao.

Japokuwa mimi kwa mtazamo wangu nafikiri mfumo hauko fear proffesa pamoja nakukuruka kote analamba m3 akizidiwa mara kadhaa na mbunge.
 
Niliwasikia Mnyika kasema robo ya mshahara wake utachangia katika moja ya miradi ya maendeleo ya ubungo.
Lakini sio issue kulipwa kingi as long you are doing what people are expecting awe CCM,CDM,CUF,NCCR NA WENGINEO.
Na nidhana potufu kusema eti kukubali mshahara huo ni uadilifu au uzalendo mbona mimi nalipwa kikubwa kwa post yangu na nina wajua jamaa wenye post na qualification kama zangu makampuni mengine wanaminywa je unataka mimi nikatae haya masalalilo.
Kuna jamaa kibao weanalipwa bags of money mjini kwa kazi yao, so chapa kazi ulipwe ujira wako.
Issue ni kuwa kwanini walipwe hivyo? Iwapo Serikali imekataa madai halali ya mfanyakazi kwa kujikimu kwanini wengine wapewe zaidi ya kujifaharisha? Hivyo kazi ya mbunge ina immediate umuhimu kuliko daktari anaeokowa maisha ya watu, mwalimu anaemsomesha huyo mbunge, na nyaja chungu nzima?
 
FUSO mawazo yako si mabaya ila hayo ni malipo yao halali na yaneidhinishwa cha msingi hapa ni utendaji tu wa kila Mbunge kwa Wananchi wake kwani hata leo Mbunge yeyote akikataa malipo hayo yatafanya shughuli zingine waache tu watumie jasho lao,Maana isije kuwa kama Waziri Mkuu wako aliyekataa gari wakati lishanunuliwa na linatumika serikalini kama kawaida.Kwa ivo there is no need kuumiza kichwa chako
Ndugu yangu nani aliyaidhinisha malipo hayo? Wanajiidhinishia wenyew na mikwambie mtazamo wangu kwa tabia hii ya kujipangia nahi8si ni kama unyanganyi na naamini wahusika watajibu kwa Mungu. Hakuna uhalali hata mmoja wa kujilipa malukuki ya pesa na ukifuatilia bungeni sijawahi kusikia mbunge anaepinga Bajeti kwa kuwatetea wafanyakazi. Eti utasikia nitaondosha shilingi mpaka jimbo langu lifanyiwe hvi au vile na Waziri huahidi na huwa imeshatoka. Anaetowa lalamiko na Waziri wote huwa wanajuwa kuwa huo ni mchezo wa kuigiza basi.
 
dhana potofu & upeo mdogo

Fuso upeo wako unaonekana ni mdogo, si lazima ukubaliane na mtoa hoja lakini unapoipinga hoja kusema tu dhana potofu na upeo mdogo unanifanya nihoji upeo wako binafsi, hoja ni ya kimsingi kabisa kwani serikali inatumia bunge kupitisha miswaada yake haya marupurupu wanayopata wabunge yanaendena hali halisi ya taifa? Nusu ya bajeti ya serikali ni mikopo na misaada kutoka kwa wafadhili ni jambo linalokera kuona badala ya mikopo kutumika kwenye shughuli za maendeleo zinatumika kwenye kuwarubuni wabunge.
 
Naomba nimjue Mbunge mwenye uchungu wa kweli wa nchi yetu:

  • Ambaye amekataa ule mkopo wa mamilioni (up to 200 mil) payable in 5 years?
  • Ambaye amekaa kuchukua mkopo wa gari wa milioni 90? Lema? Anybody knows?
  • Ambaye amekataa mshahara mkubwa wanaopata, au kutoa japo robo ya mshahara huo kuelekeza sehemu fulani jimboni mwake japo kwa mwaka mmoja?
Kama hakuna, basi mujue kwamba wote hawa ni sawa tu, tunawapepea tu wao wanakula kiulaini mnoo. Hakuna cha CDM,CCM,CUF,NCCR etc wote hawa ni walaji tu. Sisi huku tunabaki na ushabiki na kutoleana matusi na chuki, kashfa nk. Wenzetu wala. Tumeliwa kekundu.
Fikiri kwa makini utaona.

Kama umetumwa, mwambie aliyekutuma kwamba tumeng'amua janja yako! Nenda kalete hoja yako nyingine. Huu ni upupu.
 
kumwelimisha ndugu yangu ni ni kwamba Gari ni lazima awe nalo na ukizingatia barabara zetu za vijijini zilivyo hiyo aikwepeki na hua inakua ivi gari kama yale mashangingi yahimili vishindo na unaweza kukaanalo hata miaka kumina ndio maana bei gali upo hapo.
Mafno wilaya yako mtoa mada inaweza kuwa vijiji hata 30 na zaidi au pungufu, kuna matawi, mashina na wazee wa vijiji kata na vitongoji so unaposema mshahara na posho+marupurupu uwa inawasaidia wabunge kufikia watendaji wake kila vijiji ukizingatia mafuta, nakadhalika inatoka mfukoni kwake akuna budget ya mbunge ya kuendesha jimbo huwa izo hela zinatoka mfukoni kwako kwa maantiki hiyo ukiwa na watu Milioni2 katika jimbo lako utakuta hata hiyo hela aitoshi ingawa unapoisikia ikitamkwa unaona nyingi
Kingine kwani si ndio mshara wake katika hiyo ajira? je wewe unaweza kufanya kazi bila malipo?

kuwa mwungwana mchangiaji
Hatujakataa wabunge wasiwe na magari ili kufanikisha utendaji wao kinachotia shaka ni pale serikali inapojibebesha mzigo wa kila baaada ya miaka mitano kununua magari mapya kwanini isurudie utaratibu wa zamani, upo ushahidi kuna baadhi ya majimbo wananchi hawajawahi kuyaona magari wabunge, hii nchi masikini sana tunahitaji viongozi wenye upeo wa kupima wapi tunatoka na wapi tunakwenda.
 
Naomba nimjue Mbunge mwenye uchungu wa kweli wa nchi yetu:

  • Ambaye amekataa ule mkopo wa mamilioni (up to 200 mil) payable in 5 years?
  • Ambaye amekaa kuchukua mkopo wa gari wa milioni 90? Lema? Anybody knows?
  • Ambaye amekataa mshahara mkubwa wanaopata, au kutoa japo robo ya mshahara huo kuelekeza sehemu fulani jimboni mwake japo kwa mwaka mmoja?
Kama hakuna, basi mujue kwamba wote hawa ni sawa tu, tunawapepea tu wao wanakula kiulaini mnoo. Hakuna cha CDM,CCM,CUF,NCCR etc wote hawa ni walaji tu. Sisi huku tunabaki na ushabiki na kutoleana matusi na chuki, kashfa nk. Wenzetu wala. Tumeliwa kekundu.
Fikiri kwa makini utaona.

Je uchungu wa kweli wa nchi maana yake ni nini? Je mtu kukataa mkopo au mshahara wake halali ni kigezo tosha cha kuonesha kuwa ana uchungu wa kweli wa nchi? Je kuna kosa lolote kwa mtu kupatiwa mkopo bila kujali mkopo hupo umetolewa na nani? Je unadhani hawa wabunge wakitoa robo ya mishahara yao na kuipeleka jimboni itakuwa ni suluhu ya matatizo yanayowakabili wananchi kwa sasa? yaani umeme, kupanda kwa gharama za maisha, ufisadi, mikataba hewa, ujinga, maradhi na umaskini.

Mimi nafahamu kuna wabunge ambao wanatoa pesa zao kusaidia wananchi wanaowaendea na matatizo mbalimbali. Lakini je hilo limesaidia kuondoa matatizo majimboni mwao au limesaidia tu kuendekeleza "beggar mentality" na ufisadi wa kuuza na kununua kura? Kwa ufupi mbunge anayewaambia wananchi kuwa akichaguliwa atatumia mshahara wake au sehemu ya pesa zake nyingine kuwaondolea matatizo yao ni tapeli wa kisiasa kwani jambo hilo haliwezekani na halijawahi kutokea.

Kwa ufupi mimi siamini kuwa ni makosa na ni kukosa uchungu wa nchi kwa mtu kukubali kulipwa mshahara mzuri na kupatiwa mkopo wa kufanyia jambo lolote ambalo anahitaji. Kinachofanyika sasa ni kuwawekea mazingira mazuri zaidi wabunge ili waweze kutimiza wajibu wao kwa ufanisi zaidi.

Jambo la msingi ambalo tungeweza kujadili hapa ni je wabunge wetu wanatimiza wajibu wao kama inavyotakiwa - yaani kwa ufanisi? Je tunapata thamani kwa pesa tunayowalipa ("value-for-money") kutokana na jinsi wanavyotekeleza majukumu yao ya kikatiba? Kama jibu ni hapana kwa swali hili la msingi tunatakiwa kuchukua hatua ya kuwafanya wawakilishi wetu watekeleze wajibu. Hii ni pamoja na kuwaondoa wote ikibidi ili tuwapate watu watakaotekeleza wajibu wao kwa ufanisi zaidi.
 
Tukiongelea mishahara ya wabunge, mkuu hapa tunaongelea pesa ya walipa kodi. Hata kama na wewe unakula hiyo hela ya walipa kodi kwa kiwango ambacho unajua si haki ujue na wewe ni miongoni mwa wale wanaonufaika na mfumo mbovu wa sasa!

Ni ukweli ulio wazi kuwa wabunge wetu wanalipwa hela nyingi sana na mbaya zaidi wengi wao bado wanaamini kuwa kwa sasa mafao yao bado ni madogo....!

TAFAKARI!

Bandiko langu limesema siyo issue kwa wao kulipwa kikubwa kama wanafanya kazi ambayo wametumwa na wananchi i mean the expected job.
Hivi ni nani anaweza kukataa mkopo?
Ukiangalia mada inaonyesha kukataa mikopo ya 90Milioni, 200 milioni na mshahara wa 12Millioni.
Sinufaiki na mfumo mbovu ila najaribu kuonyesha kuwa malipo yao makubwa si isssue kama wanafanya kazi, na tusiumize kichwa kwa mambo ambayo hayawezi kubadilika katika mfumo mbovu, u know that, kama sikosei ktika bunge lililopita kuna mbunge wa chadema alipendekeza posho za na mishahara ya wabunge ipunguzwe ilikuweza kuongeza mishahara ya wafanyakazi wa uma Makinda akiwa naibu spika alimwambia anza wewe wengine wafuate, so i am trying to tell u the system does not favour ur side and all u have to do is to challenge the MP to do the job for we voted them for.
Nimeonyesha kwamba kuna wengine hawanufaiki na qualification zao kwa waajiri wao na hiyo ni kwa sababu ya system inawabeba waajiri, may be even myself nanyonywa lakini wapo wanaonyonywa kuliko mimi
Sorry if nimekukwaza.
 
Issue ni kuwa kwanini walipwe hivyo? Iwapo Serikali imekataa madai halali ya mfanyakazi kwa kujikimu kwanini wengine wapewe zaidi ya kujifaharisha? Hivyo kazi ya mbunge ina immediate umuhimu kuliko daktari anaeokowa maisha ya watu, mwalimu anaemsomesha huyo mbunge, na nyaja chungu nzima?

Kubadilisha mfumo huu tulionao ni vigumu na hilo great thinkers mnalifahamu.
Malipo yao yamesha thibitishwa inachotakiwa sisi voters tu wachallenge warekebishe mafao ya wengine na sio kupunguza mafao yao kwanza.
Mfumo wa serikali ya Tanzania ni vitisho kwea watu wake pindi wanapotaka kudai haki zao.
Hivi utawasaidiaje waalimu ambao wanalipwa hovyo, ukiwataka wadai haki yao kwa kuandamana wanagawanyika?
Utawasaidiaje wafanyakazi wengi wao wa Umma ambao mafao yao ni madogo i mean wale wa kima cha chini ambao wanataka Mgaya awasemee na mwisho wa siku wanamgeuka?

All in all inatakiwa tudai kwanza katiba mpya ili itupe muongozo bora kwa ajili ya badaye waangalie Kenya ingawa mambo hayajabadilika sana lakini wanancvhi wanajua haki yao na wanahoji mambo kwa uhuru.
 
Kama umetumwa, mwambie aliyekutuma kwamba tumeng'amua janja yako! Nenda kalete hoja yako nyingine. Huu ni upupu.
Hapo penye rangi, umeng'amua wewe na nani? Hata hivyo mbona wenye upeo wanachangia hoja zao bila hata kutaja chama chochote, yaani wanachangia generally? Nadhani hiyo ndiyo ilikuwa nia ya mtoa mada. Lakini watu kama wewe sijui una ushabiki wa chama kipi, lakini unaona kila thread ni ya kusema viongozi wako tu,, umekuwaje wewe? Hatuongelei chama chochote hapa wala ushabiki wa vyama. Watu wanakata isssue tu. Tuondolee uchuro ebo!
 
Back
Top Bottom