Elections 2010 Mbunge mteule wa Karagwe anajuta

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
Ni jana nimetoka msibani Bukoba. Habari zinasema mbunge wa Karagwe hawezi kukaa jimboni kwake kuepuka hasira za wapiga kura. Migomba shambani kwake imekatwa na yeye amesafirishwa kwa escort ya polisi waliojizatiti kwa lolote mpaka Bukoba airport. Wababe wake wanadai hakushinda kwa haki. :cool:
 
Itakuwa fundisho kwa wachakachuaji wa majimbo mengine ili waogope nguvu ya wananchi, I hope hata wa Shinyanga mjini yupo ktk wakati mgumu pia
 
Tatizo si mbunge peke yake, ni system nzima iliyombeba. Kuanzia DC, RC, RPC, OCD, Msimamizi wa jimbo nk. Hao mapolisi wengine walikuwa wanatekeleza amri tu. Na kwakweli system ni mbovu kabisa na imelelewa hivyo tangu 1995.
Mwl Nyerere ndiye alisababisha yote haya pale aliposhindwa kuona ni vipi CUF itawale Zanzibar na CCM itawale serikali ya muungano. Tunakumbuka aliposhinikiza CCM itangazwe mshindi zanzibar. Tangia hapo CCM wakajua kuwa unaweza ukashindwa bado ukajitangaza mshindi na kwa kuwa unazo nguvu za dola basi hakuna atakayekusumbua - ni ubabe huhuo wanaouendeleza hadi sasa. Hakika iko siku historia itamhukumu Nyerere. Naomba vatican wachunguze kwa makini kabla ya kumtaja kuwa mtakatifu!
 
Tatizo si mbunge peke yake, ni system nzima iliyombeba. Kuanzia DC, RC, RPC, OCD, Msimamizi wa jimbo nk. Hao mapolisi wengine walikuwa wanatekeleza amri tu. Na kwakweli system ni mbovu kabisa na imelelewa hivyo tangu 1995.
Mwl Nyerere ndiye alisababisha yote haya pale aliposhindwa kuona ni vipi CUF itawale Zanzibar na CCM itawale serikali ya muungano. Tunakumbuka aliposhinikiza CCM itangazwe mshindi zanzibar. Tangia hapo CCM wakajua kuwa unaweza ukashindwa bado ukajitangaza mshindi na kwa kuwa unazo nguvu za dola basi hakuna atakayekusumbua - ni ubabe huhuo wanaouendeleza hadi sasa. Hakika iko siku historia itamhukumu Nyerere. Naomba vatican wachunguze kwa makini kabla ya kumtaja kuwa mtakatifu!

Nakubaliana na wewe maamuzi ya nyerere yanatutesa na mimi naamini nyerere hawezi kutangazwa mtakatifu hata siku moja maana machungu wanayopata watanzania leo ni matunda ya maamuzi aliyoyafanya nyerere wakati ule .Fikiria kama angeruhusu demokrasia leo Tanzania ingekuwa mfano wa kuigwa africa.Tanzania tunayo kazi ya ziada kuondoa utamaduni aliotuaCHIA BABA WA TAIFA.Hii mada yako KAMAKABUZI ILETE KAMA POST TUJADILI KWA KIREFU.UMETUFUMBUA SANA.KARIBU TENA
 
Tatizo si mbunge peke yake, ni system nzima iliyombeba. Kuanzia DC, RC, RPC, OCD, Msimamizi wa jimbo nk. Hao mapolisi wengine walikuwa wanatekeleza amri tu. Na kwakweli system ni mbovu kabisa na imelelewa hivyo tangu 1995.
Mwl Nyerere ndiye alisababisha yote haya pale aliposhindwa kuona ni vipi CUF itawale Zanzibar na CCM itawale serikali ya muungano. Tunakumbuka aliposhinikiza CCM itangazwe mshindi zanzibar. Tangia hapo CCM wakajua kuwa unaweza ukashindwa bado ukajitangaza mshindi na kwa kuwa unazo nguvu za dola basi hakuna atakayekusumbua - ni ubabe huhuo wanaouendeleza hadi sasa. Hakika iko siku historia itamhukumu Nyerere. Naomba vatican wachunguze kwa makini kabla ya kumtaja kuwa mtakatifu!

Kuna kundi la watu liisikia habari za Nyerer linapata wazo la siasa na lingine linapata wazo la dini. Sitaingia katika kundi ambalo likisikia habari za Nyerere linapata mawazo ya dini. Kuna maneno yanayojirudiarudia kuwa Nyerere alipora ushindi wa CUF Zanzibar, kama ni kweli haya ni mojawapo ya makosa makubwa aliyofanya Nyerere na kosa hili ni kubwa kuliko la Chenge na Lowassa.
 
Safi sana wananchi wa BK , Swali gumu la kujiuliza tutaibiwa kura mpaka lini?
ni mpaka pale mwizi atakapokamatwa,
ni mpaka pale watakapoacha kuibwa, ni mpaka pale mtakapochoka kuibiwa, ni mpaka pale mtakapojua nini maana ya kuibiwa, ni mpaka pale wale wanaopewa majukumu watakapojua wajibu wao ni upi, ni mpaka pale... akh majibu ni mengi mno hapo:thinking:
 
chinja kabisa hao damu yao halali kumwagika
:deadhorse::deadhorse::deadhorse:
 
Nyerere hana sifa za kuwa mtakatifu wala usipate tabu kaka hata yeye pia alikuwa mchafu kama viongozi wengine wa ccm ila kidogo alikuwa na nafuu ndio maana inaonekana afadhali yeye.
 
Vipi Yule Mkurugenzi wa Halimashauri ya Shinyanga Nae kapotea mazima
 
Ni jana nimetoka msibani Bukoba. Habari zinasema mbunge wa Karagwe hawezi kukaa jimboni kwake kuepuka hasira za wapiga kura. Migomba shambani kwake imekatwa na yeye amesafirishwa kwa escort ya polisi waliojizatiti kwa lolote mpaka Bukoba airport. Wababe wake wanadai hakushinda kwa haki. :cool:

hakuna wa kuweza kupambana na nguvu za Dola. Hizo ni nguvu za soka tu. kama mna hoja njia nyeupeeeeeeeee mahakamani na sio kutishia kuvunja amani ya nchi
 
HM Hafifif wewe ni fisadi tu mchakachuaji mkubwa wewe nani kakuambia kuwa kuna kuna watu wanataka kupambana na Dola. Hizo si nguvu za soda kama unavyofikiria hizo ni harakti zinaanza kidogokidogo. Ni nani amekuambia kuna mtu anatishia kuvunja amani ya nchi
 
Nakubaliana na wewe maamuzi ya nyerere yanatutesa na mimi naamini nyerere hawezi kutangazwa mtakatifu hata siku moja maana machungu wanayopata watanzania leo ni matunda ya maamuzi aliyoyafanya nyerere wakati ule .Fikiria kama angeruhusu demokrasia leo Tanzania ingekuwa mfano wa kuigwa africa.Tanzania tunayo kazi ya ziada kuondoa utamaduni aliotuaCHIA BABA WA TAIFA.Hii mada yako KAMAKABUZI ILETE KAMA POST TUJADILI KWA KIREFU.UMETUFUMBUA SANA.KARIBU TENA

Kauli kama hizi ni kauli za kujishikiza. Iwapo kweli Nyerere alihusika katika mambo ya CUF na CCM Zanzibar 1995 mwenye chanzo hakika alete hapa janvini. Vinginevyo tumuache Mzee wetu apumzike kwa amani.
 
Tupatieni na majimbo mengine. Tandahimba mtwara mbunge amechomewa nyumba, gari la wapangaji wake, mama yake yuko mahutihuti baada ya kukatwa panga kichani, mikorosho imeangamizwa kwa kukatwa. Yeye kalala mbele bongo. Ajabu mabomu ya machozi yalitumika lakini watu wakagoma kulia.
 
Bw. Blandes Mbunge mteule CCM Karagwe hayo alijitakia mwenyewe. Wanyambo ni kabila jeuri. Lakini pamoja na ujeuri wao hawajawahi kuonja adha ya Dola. Zamu hii kwa mara ya kwanza ilibidi wanyambo hao wakimbie nyumba zao kujinusuru na mabomu ya FFU. Walikuwa hawajawahi kuona na hawakutegemea. Kwa mkasa huo walimwambia Mhe Blandes kuwa atakuwa Mbunge wa Karagwe akiwa uhamishoni na hatothubutu kukaa Karagwe. Tangu siku ya kutangaza matokeo ya Ubunge Blandes amekuwa akipwea ulinzi mkali wa askari polisi. Sasa naona hao wanyambo hasira wamehamishia kwenye shamba la mbunge mteule. Huo ni ujumbe kwake kuwa avunje mji ahamie mbali. Hakika kila mtu atavuna alichopanda.
 
kwa kuwa tatizo si mbunge peke yake, bali system yote kuanzia DC, RC, RPC, OCD, Msimamizi wa jimbo nk. Mimi nawashauri wananchi wawakatae na hawa wawakilishi pia.
KARAGWE SONGA MBELE. WANANCHI SONGA MBELE ILI HUYO MBUNGE APAONE KARAGWE PACHUNGU!
 
Back
Top Bottom