Mungu anisamehe ila huyu mama simuamini kabisa.
shule ya st.marys inaongoza kwa kuiba umeme wa tanesco!waziri prof.kamtaja leo bungeni!hao ndio wachungaji wetu
Mungu anisamehe ila huyu mama simuamini kabisa.
yule mama mbona tapeli hata ile st Marys ya Tabata kile kiwanja alitapeli
Kishoka lwakatare...njoo niunganishie umeme nimekatiwa na tanesko
teh teh eti kishoka yeye, mbunge yeye, mchungaji yeye!
kwani si dini yote ni moja, unaposema waumini wake una maana gani? pls nielweshe, au kila mchungaji anafata sheria zake na waumini wake kwenye dini moja?Waumini wake watakuwa je?