NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Pole za sarcasm kama hizi Mungu hazisikilizi, pengine kwa wenzio wale wa kuzimu.
Mbona povu mkuu.lol!
Pole za sarcasm kama hizi Mungu hazisikilizi, pengine kwa wenzio wale wa kuzimu.
weeeeh! Hajakufa, ameumia.
Hiyo dhambi ya mataulo alishatubu, usiikumbushie manake Mungu keshaisahau.
Tribute to Dena Amsi.Get Well soon.............