ingekua bagamoyo mngesema WAISLAM,ILA RUKWA MNASEMA WANANCHI,,,,
Nimeipenda iyo kunya anye bata akinya kuku kahara,,,,,,
ingekua bagamoyo mngesema WAISLAM,ILA RUKWA MNASEMA WANANCHI,,,,
SASA KWA HILI TUACHE UNAFIK, TNASUBILI TAMKO LA KADINAL AU TUTAMIN MMEPATA LA KUSEMA, AU KWA KUWA WALOCHOMA AYO MATREKTA NI WAKRISTU BASI HAMNA NOMA OW NDO INAKUA SOO, AU KUNYA LZM ANYE KUKU, AKINYA BATA KAHARISHA. ACHENI UCHOCHEZ WA DINi
CCM wanaikubali falsafa ya nguvu ya umma! safi sana!
Nguvu yoyote ikitumika negatively haina maana yoyote ile sana sana ni umasikini wa akili na kimaisha.
Enzi za ujima ulaya kulikuwa na watu waliokuwa wakiitwa 'aryans' walikuwa na nguvu na shupavu sana lakini kila mahala wanapo shinda vita huchoma [arson]kila kilichokuwepo mahala hapo. kuna sehemu walikuta ustaarabu wa hali ya juu wao waliharibu na matokeo yake wameyayuka kabisa duniani.
Hao wananchi ni maskini wa kutupwa lakini wamechoma matrekta ambayo wenye mali wanaweza kudai bima lakini wao wataendelea na umaskini tu sana sana watabaki na ardhi ambayo hawanauwezo wa kuitumia vizuri.
Ninacho maanisha ni kwamba wasingefanya destruction kwani wangeweza kutumia raslimali zilizopo hapo kwa manufaa yao . kwa sababu hao jamaa ephata kila itakavyokuwa hapo wasingeweza kuishi vizuri sana valuation ingefanyika na wanakijiji collectively wangewaza kuhodhi japo majengo ambayo wangeweza kuyatumia positivelywe kweli abunuwasi! wanakijiji hawana sehemu ya kulima! ardhi yote amechukua epahta! hakuna amani tena hapo! please jenga contsructive argument usiwe kama abunuwasi wa ukweli!
wananchi ndo waliochoma moto dini inaingiaje hapoSASA KWA HILI TUACHE UNAFIK, TNASUBILI TAMKO LA KADINAL AU TUTAMIN MMEPATA LA KUSEMA, AU KWA KUWA WALOCHOMA AYO MATREKTA NI WAKRISTU BASI HAMNA NOMA OW NDO INAKUA SOO, AU KUNYA LZM ANYE KUKU, AKINYA BATA KAHARISHA. ACHENI UCHOCHEZ WA DINi
ni wananchi ambao kati yao kuna waislam na wakristuWakristu waanza kuchoma mali zao rukwa,msije sema ni uamsho Au ponda
mfumo kristo bla bla bla bla bla, hakuna jipya only a sucker can think this way..:hatari::hatari:Mfumo Kristo unaolinda Makanisa bila kujali wananchi wa kawaida (Vibaka, Albino wanauliwa pasipo sababu) Kukosekana haki na usawa ndio Tatizo kubwa nchini kwetu, Makanisa wanapewa Previlage tokea wakati wa Mwalimu, sasa hivi mjue kuwa:
"Honeymoon period is Over
Wananchi wenye hasira kali hawakubali tena, mtapambana na nguvu za umma na makanisa yanayojengwa kutumia nguvu na mali za wananchi na ufisadi hayatodumu
Wakristu waanza kuchoma mali zao rukwa,msije sema ni uamsho Au ponda