Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Mbona hakuna merital status kwenye hiyo cv? dont tell me mtoto kama huyo hajaolewa!!
Niambie mapema kabisa nisije nikachoma mafuta bure tafadhali.
nani aoe kitu used hicho...
Mbona hakuna merital status kwenye hiyo cv? dont tell me mtoto kama huyo hajaolewa!!
Niambie mapema kabisa nisije nikachoma mafuta bure tafadhali.
pole dada yetu
Alishawahi olewe na jamaa fulani hivi! miaka ya 90s nijuavyo aliachika!
Wa kawaida tu alikuwa jirani etu mitaa ya Mikocheni
pole sna Lucie!
we lazima utakua jirani yangu ni pm
Dah mzuri sana kwa sura.
Sijawahi mwona akichangia bungeni wala kumsikia wenzangu vp anamchango gani huyu kwa taifa?
Kwa nini bado tunakumbatia hawa wabunge wa kuteuliwa na rais kwenye mfumo wetu wa vyama vingi? Nafikiri hii inawapa advantage chama tawala kuongeza wabunge japokuwa kuna wachache kutoka upinzani. Mbunge alitakiwa apatikane kwa merits zake kwa kuchaguliwa fairly na wananchi, na sio mapenzi binafsi ya rais....this is very anti-democracy!
pole sana mheshimiwa tiafa bado linakuhitaji
Weka picha yake tuone huu uzuri wakeDah mzuri sana kwa sura.
Sijawahi mwona akichangia bungeni wala kumsikia wenzangu vp anamchango gani huyu kwa taifa?
You are damn right!
Katiba ya jamhuri inamruhusu raisi kuteua wabunge 10 wa viti maalum. Wengine pia wanaingia bungeni kwa kuteuliwa na vyama vyao kulingana na wingi wa kura ambazo chama kilipata wakati wa uchaguzi mkuu, mfano wake Halima Mdee wa Chadema. Ni wengi sana hawa.