Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Hakuna Madakitari wa kuwatibu viongozi wa CCM cos they are so special. Dada nenda kutibiwa India baada ya huko pitia Uingereza ku check afya yako kabla ya kurudi nyumbani. Utakapokuwa Uingereza mpigie simu Waziri mkuu atakuja kukusalimia hapo Uingereza.Nina imani kama bado upo Chalinze Bunge litakodi ndege ije ikuchukue hapo. Ugua pole dadapole sana dada,tibiwa muhimbili usiende nje ya nchi.