BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Acheni ubahiri, tunavibaka wengi sana mtaani ambao wanaweza kuwa madereva wazuri tu......toeni ajira kwa vijana!
Anyway.....pole sana!
NL, inawezekana pia kuwa alikuwa na dereva na akamuaomba amuachie usukani ili naye afanye vitu vyake na dereva apumzike!