Ochu
JF-Expert Member
- May 13, 2008
- 975
- 47
Mbunge wa CCM kupitia tiketi ya Umoja wa Vijana, Lucy Mayenga, amepata ajali ya gari usiku wa kumkia leo na kunusurika kifo. Kwa mujibu wa mtoa habari wetu Lucy alipata ajali hiyo akiwa safarini kwenda Dodoma katika eneo la Chalinze, kilomita 40 kabla ya kufika Dodoma mjini. Habari zaidi zinapasha kuwa Lucy ndiye aliyekuwa akiendesha hiyo gari Toyota Landcruiser VX yenye namba T 681 BCV, alipatwa na majereha kiasi na hali yake inaelezwa kuwa siyo mbaya, ingawa anatarajia kwenda hospitali ya Muhimbili kwa uchunguzi zaidi.
pole dada yetu