Naona Jeshi la polisi hapa wameamua kumpelekea JK message direct kuwa "kazi yake ni kuchekacheka na kukumbatia mafisadi". Wasingewapeleka mahakamani asingepata huu ujumbe!
JF home of the Great thinkers, nimekubali.
Naona Jeshi la polisi hapa wameamua kumpelekea JK message direct kuwa "kazi yake ni kuchekacheka na kukumbatia mafisadi". Wasingewapeleka mahakamani asingepata huu ujumbe!
hivi kwa namna rais wetu anavyopenda ku smile smile.....anaweza kukaa kati kati ya Huku CHEVES ..huku AHMEDENAJAD..HUKU..ghadafi..huku..MORALES.. huku..KIM JONG IL...
au mmepata kumuona putin ..au ...medeyev wakicheka...
kwa majirani mmepata kuona kagame,museveni,kibaki au bingu wanacheka..???..viongozi ambao wanaweza kumkaribia jk kwa kucheka na kutake issues ize ni kama zuma,mswati ....sikumbuki mwingine....
hawa marais sijapata kuwaona wakicheka hata mara moja...sijui labda wakiwa chemba na wenziwao[ambao wala sijapata kuwaona ..kuacha cheves ambaye naomi campbell alijipeleka akalambwa...akaachwa]...nahisi jk akikaa kati kati ya hawa mabazazi wanaweza wakajaribu kutest zali..kama vipi!!
Upuuzi hawishi nchi hii mijizi na mijambazi inaachwa inatembea wasema kweli ndo wanabanwa.