huyu mzee kaimba nyimbo nyingi sana za ukimwi jinsi ulivyo kuwa kwa taifa letu sasa hube cheki huo mnyororo Ali kiba- jerry wa rhym - kanumba - captain komba na wengine duuh ametisha asee!Inasemekana mh. Mbunge Komba amekuwa na mahusiano kimapenzi na "LULU" kwa muda mrefu.
Kama kweli Lulu hajafikisha miaka 18 na shule kakatiza, je inakuwaje wanaume hawa 'wakubwa' kuachiwa hivihivi wakiharibu watoto na kesho yake kwenda 'Mjengoni' kutunga sheria?
Nijuzeni wenzangu.....
pax kaka,JF is where da truth is revealed!!!!!!!!!!!!Mara nying maskia hizi habari kuna ukweli au utan tu?
Jana nimeliangalia hilo DUDU likilalamoka kuhusu jimbo lake,kumbe utumbo mtupu!!!hivi wananchi waliomchagua waliangalia vigezo gani.Samahani mwenye CV yake aiweke humu maana anaendekeza fitna tu bungeni hana point hata moja.Hili la LULU ni kweli kamjengea na gari kamnunulia ila kuendekeza njaa huku hawa watoto watatufikisha pabaya bora nalo nilazimishwe kuresign kwa kulitia bunge aibu.
Inasemekana mh. Mbunge Komba amekuwa na mahusiano kimapenzi na "LULU" kwa muda mrefu.
Kama kweli Lulu hajafikisha miaka 18 na shule kakatiza, je inakuwaje wanaume hawa 'wakubwa' kuachiwa hivihivi wakiharibu watoto na kesho yake kwenda 'Mjengoni' kutunga sheria?
Nijuzeni wenzangu.....
sina uhakika na chanzo lakini hii habari imeenea sana..nakumbiuka Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Dar Es Salaam ni Jiji a Majungu