Hizi taarifa ni kweli Captain anatembea na Lulu hata mamayake lulu analitambua hilo, na ile nyumba lulu aliosema anaenga kimara ni captain komba ndio anayoijenga, even mke wa komba alishakwenda kumkanya mama yake lulu kuhusu binti kutembea na mumewe akaambulia matusi na hiyo kesi imeshafika ktk familia ya komba a kwa mkewe, ngoma ni nzito kwana ilifikia kipindi lulu alimtukana mke wa komba.
Mke yupi Salome au Jane?kwani komba anawake wengi tena wanajuana wote.Ufataki akuanza jan