Nahisi kama Kigwangalla angekuwa CDM hapa angeoneka shujaa... tuacheni cheap politics tuunge mkono linalostahili kuungwa na tuponde lisilostahili. Mikataba ni mikataba, iwe mikubwa au midogo kuivunja inagharama zake. Kwani hatujajifunza mambo ya kukurupuka kwa Dowans?
Tanzania kwanza...
Tanzania kwanza...