Mbunge Kenya azuiwa na vyombo vya dola kwa tuhuma kibao!

Mkuu genekai,

Hivi bado upo Nairobi? Huyu bwana nasikia ana zile matatu kibao mitaa ya kwao huko.
Yeah bado niko Nai, ni kweli nasikia pia jamaa ana matatu za tao Buruburu kibao. muhtasari wa habari wa saa tisa Classic fm wametangaza kuwa jamaa kanyimwa dhamana so ataendelea kuwa kabatini hadi ijumaa kesi yake itakapotaja tena! Kesi yake kwa sasa ni kuwa na pesa nyingi pasipo kueleza ni jinsi gani amezipata!
 
Sheria ni msumeno ila kwa Tz sheria ni kisu yaani kinakata pande mmoja tuu

Bongo bado tuko nyuma sana ya Kenya tukiachilia mbali ushabiki (of course kimahusiano na ukarimu sawa tunawazidi) ila kwa maendeleo (bila kuangalia kuwa uchumi uko mikononi mwa wageni au wenyeji) tuko nyuma for about fifteen to twenty years. hizi hatua za kisiasa tunazoanza kuzichukua wenzetu walianza miaka ya tisini mwanzoni. Mfano juzi tu ndo Slaa anagusia umuhimu wa katiba mpya na bado wengi hawamuelewi manake ni nini. Wenzetu tangu tisini na mbili wanapambana kwa ajili ya hili. Hapa waziri kuachia ngazi kwa makosa yake au kutimuliwa kazi na rais kwa kutowajibika ni kitu cha kawa tu, sisi utasikia wanasema eti kwa ajili ya usalama wa taifa bora waziri asisakamwe. Kazi tunayo bongo.

Above all Most of Kenyans are whistle blowers kama hawakubaliani na kitu chochote hata ka ni government project they will say it openly, kwa bongo nani athubutu. Juzi tu kina mwakyembe wamejaribu kidogo tu ajali zingewamaliza na kina Manyanya tuloanza kuwaamini wako wapi? Sitta kidogo avuliwe uanachama. Wake up bongo, for how long will you keep on dosing?!
 
hiyo mungiki ya kenya ni kama YAKUZA, TRIADS YA CHINA NA MAFIA wanafadhiliwa na watu wazito kenya . si amini kama maina njenga kama ameokoka kweli.nina wasiwasi na huo uhusiano wao.
 
I thought Martha Karua ni mtu makini sana na asingeweza kusimamisha mgombea mwenye lundo la kashfa. Sasa ushindi wake umeingia walakini baada ya huyo Mbunge kijana kuwa na scandals nyingi. Hata kama huyo mbunge atapona, lakini bado itakuwa ni dosari kubwa kwa Chama cha Martha Karua.
 
Sema Morio,

huyu chalii ni mgondi na hebu wacheni zenu. How would you have high hopes in such dubious characters..ama ni kwa vile mathree zake zilikua 'sare'...:eek:

Anyway let justice take its course lakini knowing the Kenyan system the jamaa can be 'sanitized' kisha akarudi bungeni. Im just laughing at how the judge denied him bond till Friday...thats a long time to be in remand.

I wonder what Martha Karua has to say on this one?


Huyu jamaa ana rap sheet ndefu...Ex con. How he made it to bunge is still a mystery to me. Money talks and BS walks!!!
 
Jamaa alijua kutakua kubaya na akaamua kua mlokole mapema!!!!...Bwana mheshimiwa arobaini yako imefika labda fisadi mwenzio akuponze lakini hamna cha Mungu hapa!


DNSONKO0711P.jpg




DNMBUVI0711B.jpg




Kaungana na aliyekua mkulu wa genge la Mungiki Bw Maina Njenga, ambaye kwa sasa inasemekana ni mlokole na ana kanisa lake!

DNSONKO0711V.jpg

What is wrong with the images up there ? Sonko na Mungiki? Kisha Sonko Kanisani? C'mon now people wake up!! Hoodwinking wananchi
 
Back
Top Bottom