Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,987
Yeah bado niko Nai, ni kweli nasikia pia jamaa ana matatu za tao Buruburu kibao. muhtasari wa habari wa saa tisa Classic fm wametangaza kuwa jamaa kanyimwa dhamana so ataendelea kuwa kabatini hadi ijumaa kesi yake itakapotaja tena! Kesi yake kwa sasa ni kuwa na pesa nyingi pasipo kueleza ni jinsi gani amezipata!Mkuu genekai,
Hivi bado upo Nairobi? Huyu bwana nasikia ana zile matatu kibao mitaa ya kwao huko.