Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Welldone mama songa songa mbele!
..............ipi
ccm inabomolewa na kuelimisha wana nnchi hayo masipika nikutangazia ujumbe/elimu nahiyo suzuki inamuwezesha kuwafikia watu huko vijijini nakutowa elimu
..Kwenye kumwaga Mijihela hapo ndio pananipa utata..na hata hao wapokeaji walivyokaa mkao wa kusubiri!!..Anyway..Siasa si hasa!!
mbona roho inaniambia kuwa pilitiki ndo huyo mbunge!!!!
mbona roho inaniambia kuwa pilitiki ndo huyo mbunge!!!!
Aliye juu ... mfuate hukohuko usingoje ashuke chini, na aliye uvunguni, binua kitanda umtoe!
Duh! Humu ndani watu mmejaa ushabiki kweli. Huyu mama ana VX Land Cruiser Mbili moja Mpya nyeupe na nyingine Dark Blue na hata huko alikwenda na VX lake ila alipotaka kupiga Picha ndiyo hivyo tena akatumia usanii wa kupigia picha kwenye hako ka- Suzuki ili aonekane "mpiganaji" na mzalendo kama Nyerere.haina gharama za kiuendeshaji kama hiyo migari wanyopenda wahindi-nissan/landcruiser vx
Dada huyu kwa Korogo maana ukisema mkorogo utakuwa umeushusha hadhi, hawezekani.We Abwao ni Mwanasiasa machachari wa siku nyingi na CCM wanamwogopa sana. Ndio waanzilishi wa Upinzani Tanzania ila tu hakuwa mweupe hivyo sijui CDM wanampa nini siku hizi maana ngozi yake imekuwa kama ya Marehemu TX-Moshi William!
Hakuna wataalam wa ngozi huko CDM! maana afya ya viongozi wetu pia ingepewa kipaumbele kwanza ili waweze kutuhudumia miaka mingi na kwa nguvu zaidi.