Like mother like daughter, Mnamkumbuka Sofia Mwanjelwa wa Maquis na wimbo wake JANE....
Hivi nataka kuuliza hivi ukitaka ubunge ni lazima utoe msaada kwa future Voters wako. Kwani sio RUSHA in Adance.
Aah! Huyu ni mke wa rafiki yangu Mr Machuche. JK pamoja na afya kuwa mgogoro atammudu mama huyu kweli?huyu ni mbunge wa viti maalum Mbeya, ila cha zaid ni mke wa MSHUA (JK) usikute katumwa na mzee ajionyeshe ili akimpa uwaziri msishangae?
face book imehamia huku!Dada kaza buti usirudi nyuma haya ndio mavuvuzela hayataki Mbeya tuendelee BIG UY DADA
kwa ....,..........sio uongozi.hata ndani ya ccm,ni rushwa tu,walikuwepo bora kuliko yeye.Kwa taarifa yenu huyu binti angelitaka jimbo la mbeya mjini angeisha libeba toka long time kitambo mdada wa ukweli kwa sisi wana mbeya tuna m solute!