only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Nimelisikia juu juu asubuhi kupitia tanzania daima,mwenye niuz kamili atuwekee kwani nipo meru huku valesca,HAWA JAMAA WANAONA KUWA Lema ana comsng power ya kutisha.magamba bwana
kumbe na wewe umesikia juu juu.
hata me nilisikia juujuu tu
Jamani tupeni taarifa iliyoshiba,sasa kila mmoja akija na taarifa nusu nusu namna hii sidhani kama itakuwa ni afya kwa jukwaa letu...kama una taarifa kaa kimya ili wenye taarifa watujuze.Sasa kila mmoja akiwa anasema hata mimi nimesikia juu juu,si itakuwa ni kituko?