Mbunge Godfrey Lema Atishiwa Kuuwawa....

kumbe hadi arumeru kuna wazee wa ccm wanywa kahawa na kashata kama wazee wa ccm wa dar!!!magamba wanaingiza ukabila na udini kila uchaguzi..
 
Hapa CCM, Wametafuta kianzio cha siasa za majitaka!Huyu mleta mada anaandika kutoka hewani, hajui anayemsemea ni nani? Ni wa wapi? Na kinachodaiwa kufanywa na huyu mtu ni nini?na kawafanyia akina nani? Walifanya kikao wapi na lini ili kuweka azimio hilo?ni mwanzo wa siasa za majitaka katika uchaguzi wa arumeru!
 
wazee wa Arumeru wametishia Kumtoa Roho Mbunge GodBLESS Lema(CHADEMA).endapo ataenda Arumeru,kitendo hicho kimewakera kwa maneno aliyotamka ambayo yaliwaudhi.

Wenye hbr kamili watatuelewesha vzr.

Na Nukuu"MSAJILI wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amemshauri Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kuwaomba radhi wazee wa kimila wa kabila la Wameru ‘Washiri’ vinginevyo hali ni mbaya kwake na kundi lake.

Tendwa alisema hayo jana kwa waandishi wa habari wakati akizungumzia mambo ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki.

Alisema utovu wa nidhamu alioonesha Lema siku ya maziko ya aliyekuwa mbunge wa jimbo
hilo, Jeremiah Sumari, kiliwakera Washiri na kumtaka asikanyage jimbo hilo wakati wa kampeni.

Alisema yeye alikwenda katika jimbo hilo kuonanana wakuu wa Serikali na taasisi zake kupanga mkakati wa uchaguzi, lakini ghafla alikutana na wazee hao waliosema mbele yake, kuwa Mbunge huyo wa Arusha Mjini, hawataki kumwona katika kampeni, vingivevyo damu inaweza kumwagika juu yake.

‘’Washiri wamesema hawataki kumwona Lema katika kipindi cha kampeni kwani alileta dharau kubwa na utovu wa nidhamu siku ya maziko ya Sumari, hatua ambayo iliwakera wazee hao … ni busara tu, Lema kwenda kuwaomba radhi wazee hao kama anataka kufanya kampeni ya mgombea wa chama chake- Chadema,” alisema Tendwa.

source habari leo.

Huu niuongo mkuu nijanat mh lema alikua meru hakuna tishio lolote kati yake
 
source-habari leo

siliamini hata kidogo hili gazeti

limekaa kimagambamagamba sana
 
Jana Mh. Lema alikuwa huko mbona hawajamfanya chochote? Magamba mmeanza kuogopa mapema yote hii? Kweli kazi mnayo!..
 
aisee kitu cha arusha usipime ukivuta no wonder tuna watu kama kina Lema
 
kwangu sioni mantiki ya kumzuia lema asiende kwa upande wangu naona watu hasa wa ccm wanaona lema akienda atakuwa na usahwishi mkubwa hivyo kupelekea kuchukua jimbo.hivyo namshauri lema aende akapambane ili jimbo lirudi mikononi mwa chadema kwa kuwa naamini kuwa chadema ni chama makini.kama utakuwa unaona mbali ile hotuba ya lema bungeni na kilichotokea ruvuma songea jana hakina tofaouti lema kaza buti usitishwe nchi ni yetu sote
 
wazee wa Arumeru wametishia Kumtoa Roho Mbunge GodBLESS Lema(CHADEMA).endapo ataenda Arumeru,kitendo hicho kimewakera kwa maneno aliyotamka ambayo yaliwaudhi.

Wenye hbr kamili watatuelewesha vzr.

Na Nukuu"MSAJILI wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amemshauri Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kuwaomba radhi wazee wa kimila wa kabila la Wameru ‘Washiri' vinginevyo hali ni mbaya kwake na kundi lake.

Tendwa alisema hayo jana kwa waandishi wa habari wakati akizungumzia mambo ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki.

Alisema utovu wa nidhamu alioonesha Lema siku ya maziko ya aliyekuwa mbunge wa jimbo
hilo, Jeremiah Sumari, kiliwakera Washiri na kumtaka asikanyage jimbo hilo wakati wa kampeni.

Alisema yeye alikwenda katika jimbo hilo kuonanana wakuu wa Serikali na taasisi zake kupanga mkakati wa uchaguzi, lakini ghafla alikutana na wazee hao waliosema mbele yake, kuwa Mbunge huyo wa Arusha Mjini, hawataki kumwona katika kampeni, vingivevyo damu inaweza kumwagika juu yake.

''Washiri wamesema hawataki kumwona Lema katika kipindi cha kampeni kwani alileta dharau kubwa na utovu wa nidhamu siku ya maziko ya Sumari, hatua ambayo iliwakera wazee hao … ni busara tu, Lema kwenda kuwaomba radhi wazee hao kama anataka kufanya kampeni ya mgombea wa chama chake- Chadema," alisema Tendwa.

source habari leo.

Like father like son.
 
Nimelisikia juu juu asubuhi kupitia tanzania daima,mwenye niuz kamili atuwekee kwani nipo meru huku valesca,HAWA JAMAA WANAONA KUWA Lema ana comsng power ya kutisha.magamba bwana
 
Hakuna wa kumzuri kamanda Lema,lema anaMUNGU anayempigania na kumlinda! Mwisho wa CCM umetimia.
 
wazee wa Arumeru wametishia Kumtoa Roho Mbunge GodBLESS Lema(CHADEMA).endapo ataenda Arumeru,kitendo hicho kimewakera kwa maneno aliyotamka ambayo yaliwaudhi.

Wenye hbr kamili watatuelewesha vzr.

Na Nukuu"MSAJILI wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amemshauri Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kuwaomba radhi wazee wa kimila wa kabila la Wameru ‘Washiri’ vinginevyo hali ni mbaya kwake na kundi lake.

Tendwa alisema hayo jana kwa waandishi wa habari wakati akizungumzia mambo ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki.

Alisema utovu wa nidhamu alioonesha Lema siku ya maziko ya aliyekuwa mbunge wa jimbo
hilo, Jeremiah Sumari, kiliwakera Washiri na kumtaka asikanyage jimbo hilo wakati wa kampeni.

Alisema yeye alikwenda katika jimbo hilo kuonanana wakuu wa Serikali na taasisi zake kupanga mkakati wa uchaguzi, lakini ghafla alikutana na wazee hao waliosema mbele yake, kuwa Mbunge huyo wa Arusha Mjini, hawataki kumwona katika kampeni, vingivevyo damu inaweza kumwagika juu yake.

‘’Washiri wamesema hawataki kumwona Lema katika kipindi cha kampeni kwani alileta dharau kubwa na utovu wa nidhamu siku ya maziko ya Sumari, hatua ambayo iliwakera wazee hao … ni busara tu, Lema kwenda kuwaomba radhi wazee hao kama anataka kufanya kampeni ya mgombea wa chama chake- Chadema,” alisema Tendwa.

source habari leo.

Niyale yale (udini) leo wameona waje na ukabira uchu wa kuongoza unatugawa wa tanzania yote hayo yanatokana na kufilisika kwa maono kuishwiwa sela
 
Jamani hakuna MSHILI aliyeongea jambo juu ya Lema, hakuna chochote cha kumtisha kamanda Lema hii ni janja ya magamba kupunguza mwamko wa wameru kuisapot chadema, nani asiyejua hili? Lema kampeni atafanya sana na Tendwa sisi tunamjua ni sagamba la ccm mambo ya kuwasemea watu kuwakatisha tamaa ila mwisho wao ndo hapa. Wameanza na hapa ndo tunakata mtu zaka.
 
John Tendwa amenukuliwa akisema wazee wa Kimeru wamemwambia kuwa Lema akikanyaga Meru watamuua........ajabu pamoja na kuwa mwanasheria Tendwa hajawapeleka hao wazee Polisi. Kutuishsia kuua ni kosa la jinai....... na kuzuia sheria kuchukua mkondo wake ni kosa lajinai pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom