Mbunge Gaudense Kayombo (Mbinga) Awaibia wananchi TZS 21,000,000/=

Neng'uli

Senior Member
Aug 1, 2011
126
33
Wananchi wa Tarafa ya Namswea- Wilaya ya Mbinga waishio Dar es salaam walichanga pesa ili kununua vifaa vya maabara kwa ajili ya Ruanda Secondari. Mheshimiwa akatoa pendekezo kuwa atanunua vifaa hivyo na kwenda kukabidhi kwa Mkuu wa shule. Baada ya muda aliibuka na kueleza kuwa, amenunua vifaa na kusafirisha kwa bahati mbaya gari imepata ajali na vifaa vyote vimeharibika.

Aliombwa uthibitisho wa Polisi kupima ajali hiyo-- Hakutoa, Aliombwa hata picha za tukio--- Hakutoa. Akaombwa hata copy za risiti ya manunuzi-hajatoa. Wananchi wamekuwa wakiulizia hatima ya tukio hilo bila majibu na sasa Jamaa yupo kimya.
 
huu siyo wakati wa kulalamika kama majuha..chukueni hatua kama alivyosema mzee mwanakijiji..ccm imeoza
 
Wananchi wa Tarafa ya Namswea- Wilaya ya Mbinga waishio Dar es salaam walichanga pesa ili kununua vifaa vya maabara kwa ajili ya Ruanda Secondari. Mheshimiwa akatoa pendekezo kuwa atanunua vifaa hivyo na kwenda kukabidhi kwa Mkuu wa shule. Baada ya muda aliibuka na kueleza kuwa, amenunua vifaa na kusafirisha kwa bahati mbaya gari imepata ajali na vifaa vyote vimeharibika.

Aliombwa uthibitisho wa Polisi kupima ajali hiyo-- Hakutoa, Aliombwa hata picha za tukio--- Hakutoa. Akaombwa hata copy za risiti ya manunuzi-hajatoa. Wananchi wamekuwa wakiulizia hatima ya tukio hilo bila majibu na sasa Jamaa yupo kimya.

Kwa nini hao wananchi hawautaki kukoma????!!! Kabla ya kuwa mbunge alikuwa mweka hazina ya NGO ya hukohuko Namchwea na aliiba hela, sasa kwa nini walimkabidhi tena hela
 
chezea magamba wewe..si mlikula wali kuku na tshirt mkavaa..ndo anarudisha hela zake ivyo..tulieni kama mnanyolewa tuuu
 
Wananchi wa Tarafa ya Namswea- Wilaya ya Mbinga waishio Dar es salaam walichanga pesa ili kununua vifaa vya maabara kwa ajili ya Ruanda Secondari. Mheshimiwa akatoa pendekezo kuwa atanunua vifaa hivyo na kwenda kukabidhi kwa Mkuu wa shule. Baada ya muda aliibuka na kueleza kuwa, amenunua vifaa na kusafirisha kwa bahati mbaya gari imepata ajali na vifaa vyote vimeharibika.

Aliombwa uthibitisho wa Polisi kupima ajali hiyo-- Hakutoa, Aliombwa hata picha za tukio--- Hakutoa. Akaombwa hata copy za risiti ya manunuzi-hajatoa. Wananchi wamekuwa wakiulizia hatima ya tukio hilo bila majibu na sasa Jamaa yupo kimya.

Bila shaka atakuwa mbunge wa gamba ndo wenye roho ngumu hivi!
 
Kweli mwenye asili haachi asali kama ccm asili yao ni wezi na bado kwa hali ya nchi ilivyo hawaachi kuiba!
 
Wananchi wa Tarafa ya Namswea- Wilaya ya Mbinga waishio Dar es salaam walichanga pesa ili kununua vifaa vya maabara kwa ajili ya Ruanda Secondari. Mheshimiwa akatoa pendekezo kuwa atanunua vifaa hivyo na kwenda kukabidhi kwa Mkuu wa shule. Baada ya muda aliibuka na kueleza kuwa, amenunua vifaa na kusafirisha kwa bahati mbaya gari imepata ajali na vifaa vyote vimeharibika.

Aliombwa uthibitisho wa Polisi kupima ajali hiyo-- Hakutoa, Aliombwa hata picha za tukio--- Hakutoa. Akaombwa hata copy za risiti ya manunuzi-hajatoa. Wananchi wamekuwa wakiulizia hatima ya tukio hilo bila majibu na sasa Jamaa yupo kimya.

kofia na khanga zimewakosti

sasa wangoni na ujanja wote ule wanashindwa kumweka sehemu yake huyu jamaa?
 
Kila siku mnaambiwa badilikeni hamtaki, nyie mnajua ni kizazi cha mafisadi halafu bado mnamkabidhi jukumu kama hilo, hapo anajua ya kwamba hata mkienda mahakamani bado iko kwenye mikono yao,pole sana, badilikeni
 
Wananchi wa Tarafa ya Namswea- Wilaya ya Mbinga waishio Dar es salaam walichanga pesa ili kununua vifaa vya maabara kwa ajili ya Ruanda Secondari. Mheshimiwa akatoa pendekezo kuwa atanunua vifaa hivyo na kwenda kukabidhi kwa Mkuu wa shule. Baada ya muda aliibuka na kueleza kuwa, amenunua vifaa na kusafirisha kwa bahati mbaya gari imepata ajali na vifaa vyote vimeharibika.

Aliombwa uthibitisho wa Polisi kupima ajali hiyo-- Hakutoa, Aliombwa hata picha za tukio--- Hakutoa. Akaombwa hata copy za risiti ya manunuzi-hajatoa. Wananchi wamekuwa wakiulizia hatima ya tukio hilo bila majibu na sasa Jamaa yupo kimya.

Me nakereka sana na watu wa namna hiyo,
dawa ya mwizi ni kiberiti,
au mnamuogopa?
 
Kweli sikio la kufa halisikii dawa! Na siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Ndiyo mwisho wa chama cha majizi.
 
attachment.php
 
Back
Top Bottom