Gang Chomba JF-Expert Member Feb 29, 2008 20,301 4,681 Dec 24, 2010 #21 ntafurahi tena kumuona yule Baba Anayelia... Teh teh sijui safari hii atakuja na lipi
Gurudumu JF-Expert Member Feb 5, 2008 2,349 261 Dec 24, 2010 #22 Kwani lazima kuchangia bana? Kusinzia na kugonga meza na kuzomea ndiyo kazi ya kwanza ya mbunge yoyote wa ccm. Kuongeza idadi ya sauti zinazoafiki
Kwani lazima kuchangia bana? Kusinzia na kugonga meza na kuzomea ndiyo kazi ya kwanza ya mbunge yoyote wa ccm. Kuongeza idadi ya sauti zinazoafiki
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,189 Dec 24, 2010 #23 Ningependa kusikia wote wakichangia ili nijue nani pumba zake zimezidi.
S Solomon David JF-Expert Member Mar 1, 2009 1,148 16 Dec 30, 2010 Thread starter #24 kwa wale wapenzi wa pichazzzzz ... huyu hapa sijui atasema nini?