Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
waungwana naomba msaada wa kuambiwa ni mbunge gani kwa sasa anapigania maslahi ya taifa hili?kila mmoja naona anapigania maslahi ya chama chake au jimbo lake na masuala ya kitaifa yana chwa bila msemaji
Bunge lilokwisha alikuwepo Dr.Slaa na Zitto kabla ya kunuliwa katika kamati ya Raisi ya madini ambayo mpaka leo hatujaiona faida yake kwa taifa
Bunge lilokwisha alikuwepo Dr.Slaa na Zitto kabla ya kunuliwa katika kamati ya Raisi ya madini ambayo mpaka leo hatujaiona faida yake kwa taifa