Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Waungwana naomba msaada wenu wa kunijuza ni mbunge gani ambae kwa sasa anapigania maslahi ya taifa hili kwa ushujaa wa dhati?kwa sasa naona wote wanalinda maslahi ya vyama vyao na majimbo yao.
Bunge lilokwisha tulikuwa na Dr.Slaa na Zitto kabla hajanunuliwa kwenye kamati ya nishati na madini
Bunge lilokwisha tulikuwa na Dr.Slaa na Zitto kabla hajanunuliwa kwenye kamati ya nishati na madini