Taarifa yake inadokeza uwaziri siyo issue ila kama ushawishi wa kujiunga na movement for change utamfikia kikamilafu atasepa,
Ningependa kuwakumbusha kuwa huyu ni Dokta wa kupewa.Hana PhD ya kusomea.
Kwa kweli sipendi sana anavyojiita Dokta.Sipendi kabisa.