Ambae ni baba yako! kwi kwi kwi!
Anafanana na wewe = mama yako mzazi
Am kweli wewe maamuma unahitaji imamu mzuri in fact alitoa sidiria(Bra) aliyokuwa ameinunua dukani kawa dhamira hiyohiyoShimizi ni kigauni kidogo-dogo cha ndani. Ni kama muungano wa bra na under-skirt.
Hawa wamama wa siku hizi wanajfanya under 25 si unajua gold digger wameuwa wengi hamuoni vikuku wanavaa siku hizi....kuna vijana hawana ajira..Utakuwa na kiu cha kufa mtu ndugu yangu!
Ile inaopiga jeki maziwa.Kuuliza si ujinga, hivi shimizi ndio nini?
Ni Mh. Florence Kyendesya. Aibu kubwa kwa Mby na CCM. Huyu mama alipata hicho kiti cha wenyekiti wa UWT kwa kuhonga mahela mengi ya EPA sasa alikuwa na shida gani mpaka atoe nguo ya ndani hadharani!!!!!!!!!!!!!!!!!Shame on you.
Nami pia nilielewa hivyo, kwamba alitoa sidiria. Lakini hapa nilikuwa namsaidia mwenzetu aliyehitaji kujua shimizi ni nini.Am kweli wewe maamuma unahitaji imamu mzuri in fact alitoa sidiria(Bra) aliyokuwa ameinunua dukani kawa dhamira hiyohiyo
Tabia mbaya sana hii. Mbunge huyu lazima alikuwa ni mwanamke; kitendo cha kukimbilia kutoa chupi yake kinaonyesha jinsi alivyo mwepesi kutoa chupi zake na huenda aliukwaa ubunge kwa kutoa chupi yake vivyo hivyo.
Tatizo humjui baba yako ambae ni mimi!
Una bahati sana jamaa, wewe ni shemale wa kwanza wa mbari ya kijita kuwa baba
Teh teh teh! M-bikiriwa!
Hivi hawakukuambia kuwa wewe ulipozaliwa na kwenye makuzi ulikosa Vitamin 'E' ndio maana ukawa hivyo ulivyo? Pole sana.
Una bahati sana jamaa, wewe ni shemale wa kwanza wa mbari ya kijita kuwa baba
Couldnt careless even Vit Z!
You are suffering from chronic sterility man.