Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
Unaweza kuona kuwa anajaribu kuonyesha kuwa anaweka CHAMA mbele....We have to ask Hon. Kigwa, what is his priority? His party, his nation or his conscious?
Mwenyekiti JK anatakiwa arudi kuwa Mwana CCM kwa vitendo na sisi makada wenzake tumuone akifanya hivyo, si kutujazia watu wasiokijua chama wala wasio na machungu na chama, matokeo yake ni wao sasa kuwa wakamilishaji wa ndoto zao na familia zao, na wala si za chama hawana machungu hata kidogo na CCM,".....angetakiwa kuchagua makada kutoka kwenye chama chake.....
... ili kilinde maslahi yake
Kwa namna anavochanganya hoja injionyesha kuwa ni maslahi yake ndo kwanza, then yanafuata maslahi ya yeyote anayempa kula.