TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
labda aliahidiwa kitu hajakipata na muda umepita au amegunduwa kadanganywa si unajuwa mambo ya kiswahili ukaahidiwa itakuwa kesho inachukuwa week
Mbona JK alimsaidia sana Kigwangala alipokuwa anatafuta Ubunge. Kama sikosei Kigwangala alikuwa ni mtu wa karibu sana na First Family kabla ya kupata Ubunge.
Kuna haja ya watu kuwa na shukrani, ni alama ya ustaarabu.