Katika hali inayoshangaza mkuu wa wilaya ya mbarali amempiga marufuku mbunge wa jimbo la mbarali (ccm) kufanya ziara jimboni mwake, kisa amekuwa akiwatetea wananchi walioporwa ardhi na mwekezaji. Pia ccm mkoa wanapanga kumnyang'anya kadi yake ya uanachama. swali la kujiuliza mbona ni ngumu sana kuwaondoa mafisadi katika chama lakini ni rahisi sana kuwasulubu wanaojaribu kupigania maslahi ya watanzania?