Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,141
- 13,215
Katika kuhakikisha chama chake kinaibuka kidedea katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Mbunge mmoja maarufu sana wa Chama anayetokea kanda ya kasakazini fulani aliamua yeye mwenyewe kuwa wakala na kushinda katika kituo cha kupigia kura hadi masanduku yalipoondoka...