Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,395
- 92,714
Mtume Muhamad alioa kibinti cha miaka 9, kwahiyo huyo mbunge yuko sahihi kwenye mafundisho ya kiislamu.Mwanae akivunja sinia ana miaka 9 (maana ndo trend sikuizi sio kama zamani mika 12 hadi 14 bado) je atamwozesha?. au anatumia masaburi huyu.
Na mvulana akibarehe hata kama ana miaka 12 kwa dini ya kiislamu kuoa ni ruksa.
Ndio maana waarabu wanazaana kama panya, wao hawajui kama kuna fomular inaitwa seven, four, two, three, baada ya hapo binadamu ndio anatakiwa aoe/ kuolewa.
Matokeo yake muislamu yeyote anaetaka kuelimika na kuwa na familia bora yenye plan za kisasa ni lazima apuuze mafundisho ya namna hii.