Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
With all due respects Sir....would you please make or even force me to understand you on this thing.....?Kweli siku hizi tuna wanawake na si wasichana, kama anabalehe ana miaka9 akija kufikisha umri wa mtu mzima 18 si anakuwa keshakuwa trench, amekongoroka? Ndo maana wanafanya umalaya wadogo kumbe na ukiviona navyo vinadai eti navyo vikubwa vyenzetu,kisa?
Tofauti na zamani 14-16.....humu ndani watu mnaongea kwa kutumia hisia hata bila kufikiria
Hvi mfano leo nikisema dini yangu inatambua ndoa ya mke/mme moja na si vingnevyo tatizo litakuwa ni langu ama ni dini yangu? Kama nanukuu biblia mie nina kosa gani?
Namaanisha tujifunze kujadili hoja badala ya kumuattack mleta hoja, hapa mbunge si hoja, hoja ni umri sahihi wa kuoa/kuolewa.
Please I beg you...