Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Nbunge/mwakilishi ktk Zanzibar amelalamika kuwa Waislam wa bara wananyanyaswa sana na sheria ya ndoa, kuwa inaruhusu kuozesha watoto wao kuanzia miaka 18, kinyume na sheria ya dini inayoruhusu mtoto kuolewa pale tu anapobalehe/kuvunja ungo.
Maswali yangu, Je kama mtoto kabalehe/kuvunja ungo na miaka 12 akiwa darasa la 5/6 atafaa kisheria kuacha shule na kuoa/kuolewa?
Maswali yangu, Je kama mtoto kabalehe/kuvunja ungo na miaka 12 akiwa darasa la 5/6 atafaa kisheria kuacha shule na kuoa/kuolewa?