aliulizwa form za kutaja mali na kamati ya maadili akadai pepo wachafu wamezichukua...mh
hii ndio taabu ya mwanamke kukaa na uchafu muda mrefu,awaachie vijana wamchuje nafaka ili akili yake ikae sawa.
Mkuu huyu mama sio mjane, maana mumewe yupo. Sijui kwa nini walitengana na bado najiuliza hata kama walikuwa na tifu kiasi gani, basi mama (kwa title lake) angelianzisha kumsamehe huyo mzee wake ili wakaliendeleze lile segere.Haiitaji sheria ila ni kumuelimisha tu huyo [mjane] kuwa asome sheria
hii mitandao iko worldwide na mingine hutumika hata kuchagua rais wanaomtaka.
tatizo ni kuwa hata huyo aliyempa ubunge ana tatizo!!
kiwanda cha mang'ula kilombero kilikua kinatengeneza vipuri vya viwandanikiwanda gani tena wajameni?
Mwanasheria gani serious anaweza kupoteza muda wake kusema upuuzi wa huu mtandao?Humu JF tunao wanasheria wazuri sana,katika hili tutahitaji msaada wenu kwa gharama yoyote,mimi binafsi niko tayari kabisa kuchangia.
Mwanasheria gani serious anaweza kupoteza muda wake kusema upuuzi wa huu mtandao?