Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,004
Kwanini Hassan Ngwilizi asishitakiwa MAHAKAMANI kwa kulidanganya UMMA wa WATANZANIA?
Yaani pamoja na kula pesa za TUME BURE hakuona WIZI?
CCM ikianguka hawa WOOTE wa CCM Waende JELA; Waanzishe RECONCILLIATION COURT
Kama ni kweli kamati ya Ngwilizi haikumtia Mbunge yeyote ambaye aliyesemekana ameshirikiana na Mhando kuihuju Tanesco hatiani, na kwa kuwa ilisemekana kwamba Kosa alilosimimishwa nalo Mhando ni kufanya biashara ambayo Wabunge hao walihusika na lingine ni kuwapa rushwa Wabunge hao, basi kuna sababu gani inayowazuia kumrudisha Mhando kazini mara moja maana tuhuma dhidi yake zitakuwa ni za Uongo automatically!
Au Wabunge wanaotajwa kumsababishia Mhando akafanya alichofanya hadi kumpelekea kusimamishwa ni Watu wa kufikirika? Kama ni hivyo basi na tuhuma dhidi ya Mhando ni za kufikirika!
Hakuna Nchi iliyokuwa na Amani kama Sieraleone- Jenerali Ulimwengu.