Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,900
- 21,988
Ama kweli awa wazee wanazeeka vibaya
mbunge aliechukua nafasi ya karandinga mzee wetu malecela bwa livingstone amedai
barabara nyingi za waliokuwa mawaziri wakuu na marais zina lami na kushangaa iweje
za dodoma alikokuwa akiishi mzee wetu malecela akuna hata njia ya lami
pamoja na hayo amehoji serikali ina mpango gani kuunganisha njia ya lami kutoka chuo cha udom
mpaka mvumi kumuenzi karandinga huyo??
Kazi ipo waende kwa msuya wakaulize aliwekaje bank mlimani lami mahospital,,unajua mambo mengine
sio lazima usema bungen usaidiwe ni akili tu sasa kama mzee wetu alijua waziri mkuu ni uongozi
wa maisha basi mpaka alipotoka kwenye ubunge nahisi amejua sasa aliitajika kuwafanyia mengi wananchi
pengine nisilaumu sana maana wananchi wamekuwa wakimpigia kura na kama si nec kutimua mambo yale anyaway
tusiyakumbuke sana akika angekuwa mjengoni tena ..sasa nahisiluzinde we tetea kama wewe jimbo lako
aliepita sindwele tugange yajayo achana na kutumia kivuli cha karandinga kuomba msaada jimboni
mbunge aliechukua nafasi ya karandinga mzee wetu malecela bwa livingstone amedai
barabara nyingi za waliokuwa mawaziri wakuu na marais zina lami na kushangaa iweje
za dodoma alikokuwa akiishi mzee wetu malecela akuna hata njia ya lami
pamoja na hayo amehoji serikali ina mpango gani kuunganisha njia ya lami kutoka chuo cha udom
mpaka mvumi kumuenzi karandinga huyo??
Kazi ipo waende kwa msuya wakaulize aliwekaje bank mlimani lami mahospital,,unajua mambo mengine
sio lazima usema bungen usaidiwe ni akili tu sasa kama mzee wetu alijua waziri mkuu ni uongozi
wa maisha basi mpaka alipotoka kwenye ubunge nahisi amejua sasa aliitajika kuwafanyia mengi wananchi
pengine nisilaumu sana maana wananchi wamekuwa wakimpigia kura na kama si nec kutimua mambo yale anyaway
tusiyakumbuke sana akika angekuwa mjengoni tena ..sasa nahisiluzinde we tetea kama wewe jimbo lako
aliepita sindwele tugange yajayo achana na kutumia kivuli cha karandinga kuomba msaada jimboni