bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Mara kumi kuburudika na mpira, wanasiasa wa nchi hii wameshatufanya mazuzu, kila siku ufisadi ufisadi na hakuna hatua zozote wanazochukua, bora wakae kimya kuliko kuongea kwa jazba mpaka nyama za koo ziwaume bure.Shellukindo wote wawili ni maji ya shingo, hamrudi tena bungeni.
maishu yanajadiliwa miaka nenda rudi,.....way foward hata hatujaijua...........so tiring politcs!!!!!!!
hiyo ndo sifa ya wasiasa....tarumbeta kwa sana hamna kucheza!!!!!!!!