Mbuge wa wadi ya Mwanyanya (CCM) kwa 19% anamwakilisha nani?

lifeofmshaba

JF-Expert Member
Feb 19, 2011
867
219
MAAJABU YA DUNIA MBUNGE WA WADI MWANYANYA KUINGIA BUNGENI KWA 19%?
CCM wanatamba kwa ushindi kama huo

Ni sawa na asilimia ya 19% ya wapigakura (walipaswa kupiga kura watu 4,059 na yeye kapata kura 807 ni kura kidogo kuliko baadhi ya madiwani.

Watu kutopiga kura ni ujumbe tosha kwa mbunge mteule kutokuwa na mvuto kwa jamii anayoiwakilisha,

Kwa wenye hekima huyu ni mshindi aliyeshindwa ( ni wakati sasa katiba kuwakataa wabunge kama hawa wasiokubalika wanakotoka)

Sekreterieti mpya ya ccm ilikwenda Zanzibar kutafuta kura 807, hii ni aibu kwa ccm kutokana na nguvu waliyotumia kwenye huo uchaguzi mdogo

CCM wanadhani wamepata kura 807 kwa sababu wamevua gamba ya kwamba sasa wanakubalika na wananchi kwa kupata kura 807 katika ya kura 4059 za wanaositahili kupiga kura.
Watanzania kama tusipo amka na kujua umuhimu wa kura zetu basi tutaendelea kupata wabunge kama HAMZA KHAMIS JUMA, hiyo 19% ni ya watu

waliojiandikisha kupiga kura kama tukifanya utafiti zaidi unaweza kubaini kwamba huyo mbunge kachaguliwa na watu chini ya asilimia 10, kwa maana nyingine ruhusa yake kuwakisha hiyi jamii ni kama haipo kabisa.

Hapa ndio naona KATIBA inatakiwa kuweka kikwazo cha asilimia za ushindi wa wabunge kwa kuzingatia watu wanaopaswa kupiga kura na kura alizopata mbunge, yawezeka kabisa watu kutopiga kura ni aina ya kuwakataa wagombe wote waliopo katika mchakato, Katiba inatakiwa kuwatema wabunge walipata mwitikio mdogo kwenye majimbo yao wakati wa
uchaguzi ili kuongeza nguvu ya umma katika uwakilishi kwenye hilo jengo la kutunga sheria.

Kwa misingi hiyo wagombea wataamasishwa watu kwenda kupiga kura badala ya kununua kadi zao ili wasipige kura, hii itawakomesha ujanja wa wachache wanaofikilia kupunguza idadi ya wapiga kura kwa vitisho na hira ndio njia ya kushinda uchaguzi.

Mimi nina hakika kama kila mtu hatapewa nafasi ya kusimama mbele ya sandukula la kura pale sirini hawezi kuiuza nafasi yake,

Watanzania huu ni wakati wa kwenda kupiga kura, serikali haiwezi kuwaamasisha kupiga kura maana hiyo ni moja ya mikakati yake kuendelea kubaki madarakani, nchi zote zenye maendeleo ni kwa sababu wanaheshimu na kuthamini sana kura zao, kura ni kila kitu, ni huduma zote za jamii na maendeleo ya nchi. kura ina thamini kuliko hiyo kazi unayofanya, maana kama bunge na serikali wakiingia watu wenye uchu kama ilivyo sasa watakula mali zote unazozalisha kila siku na ulizozalisha kwa muda mrefu.

SOURCE: lifeofmshaba.com
 
  • Thanks
Reactions: Idd
ndio maana wakifika bungeni wanakwenda kushangilia chama , maana wanajua wananchi hawana mapenzi nao
 
ndio maana wakifika bungeni wanakwenda kushangilia chama , maana wanajua wananchi hawana mapenzi nao
Si mchezo naona tunawapotosha watu, aliyechaguliwa siyo mbuge bali ni diwani wa mwananyanya ambayo imo katika jimbo la Mtoni kama sijakosea na mbuge wa mtoni ameshachaguliwa zamani.Juu ya yote hayo but 19% ni ndogo sana
 
MAAJABU YA DUNIA MBUNGE WA WADI MWANYANYA KUINGIA BUNGENI KWA 19%?
CCM wanatamba kwa ushindi kama huo

Ni sawa na asilimia ya 19% ya wapigakura (walipaswa kupiga kura watu 4,059 na yeye kapata kura 807 ni kura kidogo kuliko baadhi ya madiwani.

Watu kutopiga kura ni ujumbe tosha kwa mbunge mteule kutokuwa na mvuto kwa jamii anayoiwakilisha,

Kwa wenye hekima huyu ni mshindi aliyeshindwa ( ni wakati sasa katiba kuwakataa wabunge kama hawa wasiokubalika wanakotoka)

Sekreterieti mpya ya ccm ilikwenda Zanzibar kutafuta kura 807, hii ni aibu kwa ccm kutokana na nguvu waliyotumia kwenye huo uchaguzi mdogo

CCM wanadhani wamepata kura 807 kwa sababu wamevua gamba ya kwamba sasa wanakubalika na wananchi kwa kupata kura 807 katika ya kura 4059 za wanaositahili kupiga kura.
Watanzania kama tusipo amka na kujua umuhimu wa kura zetu basi tutaendelea kupata wabunge kama HAMZA KHAMIS JUMA, hiyo 19% ni ya watu

waliojiandikisha kupiga kura kama tukifanya utafiti zaidi unaweza kubaini kwamba huyo mbunge kachaguliwa na watu chini ya asilimia 10, kwa maana nyingine ruhusa yake kuwakisha hiyi jamii ni kama haipo kabisa.

Hapa ndio naona KATIBA inatakiwa kuweka kikwazo cha asilimia za ushindi wa wabunge kwa kuzingatia watu wanaopaswa kupiga kura na kura alizopata mbunge, yawezeka kabisa watu kutopiga kura ni aina ya kuwakataa wagombe wote waliopo katika mchakato, Katiba inatakiwa kuwatema wabunge walipata mwitikio mdogo kwenye majimbo yao wakati wa
uchaguzi ili kuongeza nguvu ya umma katika uwakilishi kwenye hilo jengo la kutunga sheria.

Kwa misingi hiyo wagombea wataamasishwa watu kwenda kupiga kura badala ya kununua kadi zao ili wasipige kura, hii itawakomesha ujanja wa wachache wanaofikilia kupunguza idadi ya wapiga kura kwa vitisho na hira ndio njia ya kushinda uchaguzi.

Mimi nina hakika kama kila mtu hatapewa nafasi ya kusimama mbele ya sandukula la kura pale sirini hawezi kuiuza nafasi yake,

Watanzania huu ni wakati wa kwenda kupiga kura, serikali haiwezi kuwaamasisha kupiga kura maana hiyo ni moja ya mikakati yake kuendelea kubaki madarakani, nchi zote zenye maendeleo ni kwa sababu wanaheshimu na kuthamini sana kura zao, kura ni kila kitu, ni huduma zote za jamii na maendeleo ya nchi. kura ina thamini kuliko hiyo kazi unayofanya, maana kama bunge na serikali wakiingia watu wenye uchu kama ilivyo sasa watakula mali zote unazozalisha kila siku na ulizozalisha kwa muda mrefu.

SOURCE: lifeofmshaba.com

Je unafahamu kanuni ya uchaguzi inasemaje kuhusu kutangaza mshindi.

.....inasema bayana kuwa mshindi atakuwa yule aliyepata kura nyingi za ndio..... huyo attangazwa na msimamizi wa uchaguzi kuwa ni mshindi.

Sasa huyo atawawakilisha watu wote wa hapo mwanyanya.

kama wangetaka basi wangekwenda wote na kupiga kura ya hapana kisha mambo yangekuwa shwari kwao
 
Wewe unadhani kwa nini mwitikio wa kupiga kura unakuwa mdogo kiasi hicho, pili nimesema hapo kwenyepost sheria ze ndi mbovu na wawakilishi kama hawa wamebaka uwakilishi wa majimbo, kwa nini tusiwe watafiti, watu kutopiga kura inatoka na mambo mengi, vitisho na wajanja kununua kadi zao, wengine wanapata shida kupata majina ya katika vituo vyao na huu ni ujanja wa ccm ili kushika hatamu, ni vizuri umegundua hiyo sheria ya uchaguzi inausika kutulete uozo wa wabunge
je unafahamu kanuni ya uchaguzi inasemaje kuhusu kutangaza mshindi.

.....inasema bayana kuwa mshindi atakuwa yule aliyepata kura nyingi za ndio..... Huyo attangazwa na msimamizi wa uchaguzi kuwa ni mshindi.

Sasa huyo atawawakilisha watu wote wa hapo mwanyanya.

Kama wangetaka basi wangekwenda wote na kupiga kura ya hapana kisha mambo yangekuwa shwari kwao
 
je unafahamu kanuni ya uchaguzi inasemaje kuhusu kutangaza mshindi.

.....inasema bayana kuwa mshindi atakuwa yule aliyepata kura nyingi za ndio..... Huyo attangazwa na msimamizi wa uchaguzi kuwa ni mshindi.

Sasa huyo atawawakilisha watu wote wa hapo mwanyanya.

Kama wangetaka basi wangekwenda wote na kupiga kura ya hapana kisha mambo yangekuwa shwari kwao

hapa kinachotakiwa kujadiliwa si uhalali wa kiogozi huyo (mbunge/diwani). Cha kujadili ni sheria iliyotumika.
 
huyo ndio point yenyewe mkuu
kuna watu wanaingia bungeni vigezo duni
sasa kama huyo watu hao waliomchagua na idadi ya watu katika jimbo lake weka na wale wasionasifa za kupiga
kuna huyo ni mwakilishi wa jimbo kweli?

hapa kinachotakiwa kujadiliwa si uhalali wa kiogozi huyo (mbunge/diwani). Cha kujadili ni sheria iliyotumika.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom